Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uzoefu unaaonyesha kuwa usiri wa mikataba ni moja ya chanzo cha nchi yetu kuingiza katika mikataba ya kifisadi ambayo mwisho wa siku hainufaishi wananchi, bali hunufaishi watu binafsi wakiwemo wanaoitwa mabeberu.

Kwa mfano,nikikumbuka mapambio ya uchumi wa gesi enzi za JK na kinachoendelea leo hii,sioni kama kuna jambo kubwa linalolingana na kelele za wakati ule kuhusu hiyo gesi,ila kama kuna anaeweza kutueleza mafanikio ya kiuchumi yanayotokana na hiyo gesi,basi atueleze na wengine tutafurahi kusikia kutoka kwake.

Sasa wakati uchumi wa gesi wengine hatuoni mpaka sasa,leo hii tumeletewa miradi mingine mikubwa tu ambayo nayo dalili zinaonyesha imegubikwa na usiri wa mikataba.

Sasa tujiulize,kwakuwa mikataba hii ni ya siri kwa maana ya kutoplelekwa Bungeni kama sheria inavyotaka,kwanini tusiwe na hofu kuwa miradi hii nayo huenda ni ya kifisadi?

Je, si kweli wapinzani ndio walisimama kidete Bungeni(mwaka 20125 kama sikosei) wakati wa Bunge la Mama Mkinda wakitaka uwazi wa mikataba ya gesi?

Je, leo hii tunapomsikia mwanasiasa wa upinzani kama Lissu na ambae pia ni mgombea uraisi kupitia CHADEMA anahoji usiri wa mikataba ya awamu hii,kwanini tusIkumbuke yaliyopita na tukawa na hofu na mashaka?

Tukumbuke sheria hii ni ya mwaka 2017 na wameitunga wao wenyewe tena kwa mbwembwe kweli.

Once bitten,twice shy.

Muda utasema.

Shule imeisha sasa niko huru kwa mijadala.
 
Turn and watch now.

Makundi mengi tu yameshaona Lissu ni Rais ajaye. Hakuna namna ya kumkwepa Lissu.

Lissu hakwepeki kwa sasa.

Siro ameshakubali yaishe, Mahakama walishakubali yaishe, bado wale wa vipepeo na NEC nayo inasuasua lakini iko mbioni.

Lissu ni kama Maji usipoyaoga utayanywa tu.
 
Kumsikiliza Lissu ili iweje sasa. Bora Magufuli anaweza akatamka neema kwa wafanyakazi, wamachinga, boda boda na mama ntilie.
Neema yeye ni Mungu. Hivi mbona mnapenda sana kuabudu masanamu?? Siku tutakapokuwa tunamzika kama Mkapa ndio mtajua kuwa kumbe alikuwa ni mwanadamu tu.

Tanzania ameikuta na ataiacha!
 
Not quite true. Hydropower ni gharama.
Kuni na mkaa vitaendelea kutumika. Gesi ndio suluhisho bora kwa nishati nafuu.
 
Ha
Turn and watch now.

HaYa nimahojiano? Au nikampeni kupitia vyombo vya habari? Maana huyu mama mtangazaji hamuhoji tundu lisu badara yke anachokoza mada tu!
Alitakiwa aulize umeme wa maji, jua, gesi, upepo . Niupi wenye gharama nafuu??
 
Mbona wewe ndiyo mjinga kuliko wote? Unajiandikia upumbavu mtupu kisha kwa akili zako za popo unajiona umeandika point? Acha ufala wewe kojoa ukalale acha wanaume waongee
 
Ajitokeze ili afarik
 
Walau aongei mambo ya kipuuzi kama Lissu hajui hata maana ya budgeting limiting factor yeye kila kitu atafanya na kuna mijitu ina amini; hizo hela atatoa wapi. Hata condition za kupewa mikopo na donors pia afahamu anaropoka tu.

Tundu Lissu is sick
Wewe mwenyewe hapo ulipo huna Ubongo kichwani umejaa kamasi debe mbili, tokea lini mpumbavu kama wewe akaweza kuyajua mazuri ya mtu mwelevu? Upumbavu ukikutoka ndipo uje kuandika vya maana lakini sasa bakia na upumbavu wako huko huko ulipo
 
Turn and watch now.

Nimesikiliza mahojiano ya Tundu Antipas Lissu na ITV kuhusu ahadi zake hewa (haelezi jinsi gani atawezedha km kila MTz awe na bima ya afya na mambo kadhaa). Anaishi kwenye ndoto lakini na matumaini kuwa hadaa zake zitafanikisha malengo yake.

Kwenye kampeni zake anatumia muda na nguvu nyingi kuhamasisha vurugu na si kushawishi wapiga kura kwa Sera. Lugha anayotumia kukejeli viongozi wenzake ni dhahiri akishika madaraka ya juu nchini hatakuwa "dikteta uchwara" bali dikteta kamili.

Msiyoyajua kuhusu Lissu, ambayo ni kitendawili cha shambulio dhidi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…