1. Paul Makonda .........................................Kashfa ya gorofa la GSM
2. Jerry Silaa .................................................Alituhumiwa kushiriki uuzaji wa open space jijiji Dar akiwa Diwani
3. David Kafulila .........................................Hamahama ya vyama inamfanya asiaminike na greens
4. Tulia Ackson ............................................Ameshiriki sana kuuza bandari zetu
5. Mchengerwa Mohamed .................Ataongozwa na wakwe
6. Hamprey Polepole................................Aliisaliti Rasimu ya Jaji Warioba
7. Luhaga Mpina .........................................Yuko vizuri
8. Ridhiwani Kikwete ................................Yeye, Mama yake na baba yake ni mchwa unaotafuna hata chuma
9. Innocenti Bashungwa .......................Simjui vizuri
10. Dotto Biteko ............................................Ni kama msanii fulani hivi
11. January Makamba .............................Mchwa hatari
12. Mwigulu Nchemba .............................Maringo, majivuno, hathamini kada ya chini