Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu Kiranga. Umeongea point tupu.

Na hayo ndio maisha ya watanzania tulio wengi. Ili ufike mbali unahitaji godfather.
Naona watu ama hawajui au wamesahau au wanajisahaulisha historia ya Makonda.
 
m
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
mwigulu je/ huyu bashunngwa mkiendelea kumpigia kampeni mwishowe atarogwa tu
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Hajui hata sehemu moja vizuri kazungushwa kama tairi bovu
 
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu
Godfather wangu ni Sit God
Tena wabongo kama wewe mnaojifanya hamna ma Godfather ndio mnao ila hamsemi, mnapiga kimya.

Halafu mkiulizwa siri ya mafanikio yenu utasikia mnasema, Ni God manzeee!

Kumbe nyuma ya pazia una mshua kakuvusha.
 
Kwa mfumo ulivyo sasa hata wakiamua Bambo awe Rahis inawezekana maana sio maamuzi ya wapiga Kura bali maamuzi ya mfumo
 
Twende na Tulia Ackson Mwansasu...

Huyu atatusaidia sana tusisaini mikataba ya ulaghai maana sheria inaonekana imelala pale na CV yake imeshiba hatari.
 
Paul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.

Paul Makonda godfather wake ni Samuel Sitta, Sitta ndiye kambeba Makonda mpaka kamfikisha hapo leo.

Paul Makonda alikuwa anakaa nyumbani kwa Sitta kama mwanawe. Ni kijana wa Sitta aliyepewa cheo kwa makubaliano maalum kwamba huyu ni kijana wa Sitta.

Wewe kabla ya kujilinganisha na Paul Makonda, jiulize, godfather wako nani?
SItta mtu wa Tabora alikutana wapi na vip na Paul Makonda?

Naona kutoka Kolomije had kuwa kijana wa SItta pia ni Jambo la kuhamasisha.

Hata hivyo Kama sijasahau SItta hayupo duniani karibia miaka 10 sasa lakin Makonda still yupo juu.
 
Ikulu itahamishiwa Bukoba na rugha ya taifa itakuwa kihaya.

Mawaziri na vigogo idara nyeti watakuwa wahaya
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehudumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Enough
 

Attachments

  • 20241208_140951.jpg
    20241208_140951.jpg
    77.1 KB · Views: 2
Kuzaliwa maskini sio issue,Issue ni kufa maskini
 
SItta mtu wa Tabora alikutana wapi na vip na Paul Makonda?

Naona kutoka Kolomije had kuwa kijana wa SItta pia ni Jambo la kuhamasisha.

Hata hivyo Kama sijasahau SItta hayupo duniani karibia miaka 10 sasa lakin Makonda still yupo juu.
Msikilize Makonda katembelea kaburi la Sitta akiwa na Mama Sitta, Makonda anasema alivyokuwa anasoma Sitta aliukosa USpika, Makonda akahuzunika sana na kusema nani atamlipia ada?(alikuwa anasomeshwa na Sitta). Mama akamtuliza.

Sitta hata akiwa kafa miaka mingapi, ukweli kwamba Sitta ndiye Godfather aliyempa pande Makonda apate teuzi uko pale pale.

Na kabla ya kujilinganisha na Makonda, inabidi ujiulize, Makonda Godfather wake alikuwa Sitta, wewe Godfather wako nani?


View: https://www.tiktok.com/t/ZP8NB4Xus/
 
Back
Top Bottom