Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Yote Heri kila la kheri....yule Kipara je??? Maana yumo mfumo pia
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Rais wa TFF
 
Kwakuwa nchi hii kila mtu anaweza kuwa Rais hili haliwezi kuwa jambo la kushangaza.

Ingawaje kama kweli Rais anapatikana kwa mtu kuwa na sifa stahiki basi huyu hawezi kuwa Rais.

Unaposema msomi mzuri umemaanisha nini?
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030

Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini

Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,

Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko

Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.

Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu

Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,

Innocent Bashungwa (Mb)

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe.
Nasema hivi:
Hakuna Muhaya wala munyambo atakayekuja kuwa rais wa nchi hii.
Kosa hilo likifanyika ndani ya miaka miwili tu idara na sekta muhimu za serikali zote zitajaa wanyambo na wahaya.
Kosa hilo haliwezi fanyika hata kidogo siyo urais tu hata uwaziri mkuu hawezipewa mnyambo wala Muhaya.
 
Back
Top Bottom