"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Hii mikopo ya riba 30% inayopigiwa debe na wananchi ndiyo kaburi la umasikini. Umasikini hauwezi kuisha kwa mikopo ya wanyonyaji kama FINCAChukua kitambulisho,jiunge na wenzako kama wanne unapata mkopo.View attachment 1585951
labda benki ya damu hospital unazungumziaHujui maisha wewe mtoto wa mama. Mnaunda kikundi cha watu watano mnaofahamiana ili iwe rahisi kupatikana. Na benki inawakopesha.
Huna akili bichwa kubwa wewe.labda benki ya damu hospital unazungumzia
we kunguni umeona wapi hapo inatumika kitambulisho hicho cha magu mbona unakuwa kilaza hiviHuna akili bichwa kubwa wewe.View attachment 1585960
Kamanda usiyechoka kutoka CCM acha matusi.Tofauti ya itikadi zetu isitugaweHuna akili bichwa kubwa wewe.View attachment 1585960
Naomba tuheshimiane,Ccm ulinipeleka wewe?Kamanda usiyechoka kutoka CCM acha matusi.Tofauti ya itikadi zetu isitugawe
Naomba tuheshimiane,Ccm ulinipeleka wewe?
Vikiwa na vitambulisho visivyokuwa na picha wala saini? Ama kweli mabwege wanajithihisha dhahiri shayiriWe bwege unajua nini? Unajua hata ujasiriamali?
Bima ya afya kwa wakulima huwa haitolewi kwa vikundi? Acha ubwege.
Kamanda asiyechoka kutoka CCM kitengo cha propagandaNaomba tuheshimiane,Ccm ulinipeleka wewe?
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Kusema uongo kwenye kampeni, au mnasubiria na kutafuta tafuta wapi mtampata Lissu?Tume inahusikaje na banking?
Viva Magu 2020 to 2030
Anawala akili tu"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za Afya, mkituchagua vitaendelea ili kulinda maslahi ya wanyonge"-JPM
Kama wewe kweli ni Rais wa wanyonge, ungevitoa Vitambulisho hivi bure kwa wanyonge ili uwasaidie waweze kupata mikopo ya biashara kirahisi. Hakika wanyonge wasingekusahau.
Wewe bwege kabla ya vitambulisho hivi vya wizi hii mikopo ilikuwa haitolewi? Na sasa dhamana ni kitambulisho?Mikopo bwerere ili mradi uwe mjasirimali. Acha ubwege wewe kamanda mwenzangu.View attachment 1585911
Wewe ndiyo boya kabisa, vitambulisho vile vyakuchukulia mkopo bank, labda bank za chato.Kwa hiyo ulitaka wajasiriamali Tanzania nzima wapewe bure? Wewe utauwa na akili timamu kweli? Hata Cdm inaweza kufanya hivi?
Wamachinga wa buku 7 za LumumbaSisi wamachanga tushakopea kama marambili kwenye soccos.
chadema hakuna vilaza kama wewe unachafua Nembo ya chama chetu kwa kuandika uharo wako humu JF,ccm mmekuwa wehu hadi mmeamua kutumia nembo za chadema maana kujiita CCM hadi mnaona aibu ,mapunguani nyeKamanda mwenya akili hawezi kuwa shoga. Nyie mnaenshabikia Lissu ambae atawalinda ili mfanye ushoga nawapa pole.