MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Tundu Lissu anazidi kunishawishi kwa sera zake nzuri kumhusu mwananchi na Taifa kwa ujumla. Hakika Tanzania mpya yenye maendeleo ya kweli na watu wenye mapesa inakuja. Kura yangu kwa Lissu na ushindi wake uko wazi. Tukutane 28/10/2020 kwenye vituo vya kupigia kura