Tiba Mubito
Senior Member
- Jun 8, 2020
- 145
- 156
Kamsaidie kujibu au kama unauwezo fanya utakavyo!!?Wanaendelea kumpiga chura teke, na pia ili CCM ianguke, ni lazima mambo na matendo kama haya yatokee na yaendelee kutokea...
Kwani hukumsikia alikuwa anasema haendi kwa kuwa NEC ni ya CCM?Hapo wametafuta ku balance mizani, mmoja kachukua likizo ya siku 8 mwingine kafungiwa kufanya kampeni.
Hata hivyo, aliyefungiwa hakuitwa ili ajieleze kwa maandishi na mbele ya tume kama taratibu zinavyo elekeza.Kwahiyo hata hajui amefungiwa kwa kosa gani hasa ambalo hajaitwa kulisemea !!
Hatuna mgombea binafsi. You can't dissociate the nominee with the political partyHairuhusu,lakini mbona mapingamizi yanaruhusu mgombea mwenyewe kujitetea na sio kutuma mwenyekiti wa chama au katibu wa chama? na Kama ndo hivyo iweje mgombea anapoitwa kwenye kamati ya mahadili ya tume upeleke barua kwenye chama na sio kumfikishia mgombea? Wagombea wote kwa Sasa ndo wako chini ya tume,na sio vyama ,vyama viko chini ya msajili hii haitaji uwe na akili kubwa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi...
mukamateni si munajidai mumetumiliki na kikra zetu huna na aibu kuniambia nimpigie nani wakati l have right to vote ...fisi weweNdaga mbona wengi wapo ndani!!
Acha tutetea ushoga
Hawawezi kulithibitisha kwa sababu hao mabeberu hawapo. Wangekuwepo tungeshaona mimba nyingi hapo Lumumba street.Mbona wao huwa wanamzushia kuwa anatumika na mabeberu kwenye kampeni zao je wao pia wanaweza kulithibitisha hili .
How, tume Ina kanuni zake japo Wenda zaingiliana na za mlezi wa fyama na ni vitu viwili tofauti , mfano tume inayo wajibu wa kumuandikia mgombea kiti Cha urais moja kwa moja ila mlezi wa vyama atamuandikia chama husika moja kwa moja.Hatuna mgombea binafsi. You can't dissociate the nominee with the political party
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
============
Leo tarehe 02 Oktoba 2020 kamati ya maadili ya Kitaifa imesikiliza malalamiko dhidi ya Mgombea wa kiti cha Rais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Bwana Tundu Lissu.
Malalamiko yaliwasilishwa na Chama cha NRA na Chama cha Mapinduzi. Chama cha NRA walilalamikia kitendo cha mgombea wa kiti cha Rais kupitia CHADEMA kutoa maneno ya uchochezi yasiyothibitika. Ambapo akiwa mkoani Mara, alisema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. John Pombe Magufuli ameitisha kikao cha wasimamizi wa Uchaguzi nchi nzima ili kuhujumu uchaguzi. Pia imeelezwa kuwa alitoa maneno ya kichochezi na ya kudhalilisha kinyume na Maadili ya Uchaguzi akiwa mkoani Geita.
Barua ya kumtaka kujibu tuhuma hizo iliwasilishwa kwa Katibu mkuu wa CHADEMA kwa mujibu wa taratibu. Katibu Mkuu wa CHADEMA alijibu kuwa, malalamiko hayakihusu chama hivyo, mgombea na chama ni vitu viwili tofauti. Pamoja na kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA alijibu barua ya malalamiko kuwa malalamiko apelekewe Tundu Lissu mwenyewe, kamati ya maadili imeridhika kuwa taarifa kuhusu malalamiko ya ukiukwaji na Maadili iliwasilishwa kwa mlalamikiwa kwa mujibu wa taratibu kwa kuzingatia masharti ya ibara ya 39 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambapo bwana Tundu Lissu alidhaminiwa na CHADEMA kugombea kiti cha Rais. Hivyo, barua ya malalamiko kuwasilishwa kwa Katibu Mkuu ni sahihi kabisa.
Aliitwa akasema haendi, wangemsikilizia wapi sasa?Unamuhukumu vipi mtu bila kumsikiliza.
How, tume Ina kanuni zake japo Wenda zaingiliana na za mlezi wa fyama na ni vitu viwili tofauti , mfano tume inayo wajibu wa kumuandikia mgombea kiti Cha urais moja kwa moja ila mlezi wa vyama atamuandikia chama husika moja kwa moja...
Naona wazidi kutusifu.
Kama nia ni kututukana ndugu basi nenda kwa Polepole ukatafute tusi lingine
feminist -advocating social, political, legal, and economic rights for women equal to those of men; an advocate of such rights.
Karibu tena [emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ujinga upi? Kwani dictionary yako yasemaje?Ujinga mzigo
Amina!Hakuna kulala, Mungu mbariki TAL