Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

Hapo wametafuta ku balance mizani, mmoja kachukua likizo ya siku 8 mwingine kafungiwa kufanya kampeni.

Hata hivyo, aliyefungiwa hakuitwa ili ajieleze kwa maandishi na mbele ya tume kama taratibu zinavyo elekeza.Kwahiyo hata hajui amefungiwa kwa kosa gani hasa ambalo hajaitwa kulisemea !!
 
Wanaendelea kumpiga chura teke, na pia ili CCM ianguke, ni lazima mambo na matendo kama haya yatokee na yaendelee kutokea...
Kamsaidie kujibu au kama unauwezo fanya utakavyo!!?
 
Hapo wametafuta ku balance mizani, mmoja kachukua likizo ya siku 8 mwingine kafungiwa kufanya kampeni.

Hata hivyo, aliyefungiwa hakuitwa ili ajieleze kwa maandishi na mbele ya tume kama taratibu zinavyo elekeza.Kwahiyo hata hajui amefungiwa kwa kosa gani hasa ambalo hajaitwa kulisemea !!
Kwani hukumsikia alikuwa anasema haendi kwa kuwa NEC ni ya CCM?
 
Hii imethibitika baada ya Tume hiyo kuvunja kanuni zake yenyewe kwa kuamua kumuadhibu Lissu bila kumsikiliza wala hata bila kumpelekea taarifa za mashitaka yake ili apate nafasi ya kujitetea mbele ya Tume ya maadili kama kanuni za tume yenyewe zinavyotaka .

Tafsiri tuliyoipata hapa ni kwamba Tume ya Uchaguzi inamuogopa Lissu kutokana na weledi wake mkubwa kwenye mambo ya kisheria , hawana uwezo wa kukabiliana naye kutokana na mashitaka yao kukosa mashiko , sasa wameamua bora liende ili kufurahisha wanaowatumikia

Lakini Je mwisho wa mambo haya utakuwaje ?
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo ndivyo Tanzania inajulikana, sasa hawa pimbi wa leo wanafikiria nchi hii iliota kama uyoga. Hivi kweli mtu na akili zake anafikiria kwa dhati kabisa kwamba yale yanayofanywa na Chadema mafichoni hayajulikani? Ngoma hii bado mbichi sana tutajua mbivu siku si nyingi nilisema usijaribu kutingisha kiberiti wakati unafahamu fika kwamba kimejaa.

Msikilize kwa utulivu na unyenyekevu mkubwa Pole Pole labda unaweza kujifunza kitu lakini wewe kama ni kasuku tu pita maana hayakuhusu. Mambo ya Ngoswe mwachie mwenyewe.



Tutakuwa kwenye kikao chao leo jioni.
 
Hairuhusu,lakini mbona mapingamizi yanaruhusu mgombea mwenyewe kujitetea na sio kutuma mwenyekiti wa chama au katibu wa chama? na Kama ndo hivyo iweje mgombea anapoitwa kwenye kamati ya mahadili ya tume upeleke barua kwenye chama na sio kumfikishia mgombea? Wagombea wote kwa Sasa ndo wako chini ya tume,na sio vyama ,vyama viko chini ya msajili hii haitaji uwe na akili kubwa
Hatuna mgombea binafsi. You can't dissociate the nominee with the political party
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi...

mshindi mmoja tu, tume ndio inayotangaza mshindi.... tusubili
 
Ndaga mbona wengi wapo ndani!!

Acha tutetea ushoga
mukamateni si munajidai mumetumiliki na kikra zetu huna na aibu kuniambia nimpigie nani wakati l have right to vote ...fisi wewe
 
Mbona wao huwa wanamzushia kuwa anatumika na mabeberu kwenye kampeni zao je wao pia wanaweza kulithibitisha hili .
Hawawezi kulithibitisha kwa sababu hao mabeberu hawapo. Wangekuwepo tungeshaona mimba nyingi hapo Lumumba street.
 
Hatuna mgombea binafsi. You can't dissociate the nominee with the political party
How, tume Ina kanuni zake japo Wenda zaingiliana na za mlezi wa fyama na ni vitu viwili tofauti , mfano tume inayo wajibu wa kumuandikia mgombea kiti Cha urais moja kwa moja ila mlezi wa vyama atamuandikia chama husika moja kwa moja.

Tume inauwezo kumsimamisha mgombea wa chama chochote au kumuengeua ila mlezi wa vyama hana huezo huo ila anauwezo wa kukifuta chama chochote.

Bro mbona umeandika Kama wajua sheria ila hata sie tusio jua haitaji kuwa na shule hiyo ,organ mbili zafanya kazi moja inayofanana ila kikanuni katika utendaji mbona tofauti Sana mkuu ,unakwama wapi?

Kwa Sasa tume haishughuliki na chama inashughulika na mgombea,na Kama ndo hivyo why mgombea na mlalamikiwa hakupelekewa malalamiko yako alipo kua ?mabilion300 na ushee kazi yake ni pamoja na changamoto Kama hizi.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.

============

Leo tarehe 02 Oktoba 2020 kamati ya maadili ya Kitaifa imesikiliza malalamiko dhidi ya Mgombea wa kiti cha Rais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Bwana Tundu Lissu.

Malalamiko yaliwasilishwa na Chama cha NRA na Chama cha Mapinduzi. Chama cha NRA walilalamikia kitendo cha mgombea wa kiti cha Rais kupitia CHADEMA kutoa maneno ya uchochezi yasiyothibitika. Ambapo akiwa mkoani Mara, alisema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. John Pombe Magufuli ameitisha kikao cha wasimamizi wa Uchaguzi nchi nzima ili kuhujumu uchaguzi. Pia imeelezwa kuwa alitoa maneno ya kichochezi na ya kudhalilisha kinyume na Maadili ya Uchaguzi akiwa mkoani Geita.

Barua ya kumtaka kujibu tuhuma hizo iliwasilishwa kwa Katibu mkuu wa CHADEMA kwa mujibu wa taratibu. Katibu Mkuu wa CHADEMA alijibu kuwa, malalamiko hayakihusu chama hivyo, mgombea na chama ni vitu viwili tofauti. Pamoja na kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA alijibu barua ya malalamiko kuwa malalamiko apelekewe Tundu Lissu mwenyewe, kamati ya maadili imeridhika kuwa taarifa kuhusu malalamiko ya ukiukwaji na Maadili iliwasilishwa kwa mlalamikiwa kwa mujibu wa taratibu kwa kuzingatia masharti ya ibara ya 39 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambapo bwana Tundu Lissu alidhaminiwa na CHADEMA kugombea kiti cha Rais. Hivyo, barua ya malalamiko kuwasilishwa kwa Katibu Mkuu ni sahihi kabisa.


ifike mahali sasa huo mdomo ujifunze kuongea mambo yanayo eleweka na atumie mda mwingi kunadi sera badala ya uongo
 
How, tume Ina kanuni zake japo Wenda zaingiliana na za mlezi wa fyama na ni vitu viwili tofauti , mfano tume inayo wajibu wa kumuandikia mgombea kiti Cha urais moja kwa moja ila mlezi wa vyama atamuandikia chama husika moja kwa moja...

Mnaelewa sharia za nchi hii zilivyowekwa? Adrenaline anatupa mihemko tunasahau some basics. TL akiamua kufanya kampeni, inakula kwake. Sheria msumeno
 
Naona wazidi kutusifu.
Kama nia ni kututukana ndugu basi nenda kwa Polepole ukatafute tusi lingine
feminist -advocating social, political, legal, and economic rights for women equal to those of men; an advocate of such rights.
Karibu tena
[emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ujinga mzigo
 
toka nineskia anasapot LGBT naelewlzwa hapa na msaidiz wangu nimechukia sana
 
mahera anajitahidi kutetea uteuzi wake pale NEC
 
Back
Top Bottom