Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
- #61
Nchi yenu wewe na nani?Bora wangemtoa kabisa asije akatuharibia nchi yetu bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi yenu wewe na nani?Bora wangemtoa kabisa asije akatuharibia nchi yetu bure
Tujadili mkuuNgoja nijaribu kuwa jasusi.Je withdraw ya wito wa Polisi ina uhisano wowote na kusimamishwa kampeni TL?NDIYO,tujadili.
Hampumui mwaka huuSafi sana , jamaa hatumii heshima kabisa
Sio kweli!!!Tiini mamlaka zilizo juu imeandikwa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi...
Nenda post no 1Weka barua mkuu. Itapendeza zaidi.
Na yule anayetishia wapiga kura kule Tunduma anachukuliwa hatua gani? Kasema wasipomchagua Silinde anawanyima maji, utadhani Tunduma hawalipi kodi.
Ccm ni wahuni tu!!! Wanafanya figisu za mwaka 47NILIPANGA KUIPA KURA CCM ILA KWA UONEVU HUU NAMPIGIA KURA LISSU
Wametangaza kuwa NEC wanatumika?Ni kweli, ITV wametangaza sasa hivi. Hawa NEC wanatumika.
Na naniHata Lissu anatumika
Wasubiri majibu ya Shujaa wa Mungu sasa Tundu Antiphas Lissu!Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Wanataka aende sambamba na M/kiti wenu maana nasikia kamati ya afya imemkataza kufanya kampeni siku 8Wanampa kiki ya bure!
Huyo Chura ajiangalie, maana inategemea aina ya Teke analopigwa!Wanaendelea kumpiga chura take (nadhani ulimaanisha teke)
Nothing more nothing lessI Saw This Coming..
Nothing more nothing lessWasubiri majibu ya Shujaa wa Mungu sasa Tundu Antiphas Lissu!!!
Lissu wauweeeeeeeee!!!