Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Wafanyabiahara pekee ndo tunajua hii kero, hasa hawa vijana wa TRA, wanaingia tu hata mwaka hawana unaona wana ndinga za kil30, sa unajiuliza mbna mshahara wao hauwafikishi huko,
Wanataftia wafanyabiashara makosa ya jilimbikiza na kutaka tuwape hella, usipowapa wanakupiga mfine wa kiserekali ambao ni mil4 au 3
Hapo ni kukulazmisha uwape mil1 wakuache, ishanitokea hii, kosa wanalioungaunga kama matraffic tu, weziwezi sana hawa japaa, TRA wasipolegeza sheria zao au kupunguza kodi haya yataendelea sana,
Sheria za TRA hazitumiki kuendeleza biashara au nji, bali kifungo cha mfanya biashara, mpinzani wako akiwa anaelewana na TRA vzr ndo utakoma kuishi Tanzania
 
Kwani si walisema sahizi kulipa kodi ni kwa kirafiki kabisa sio kipindi kile kukimbizana, imekuwaje tena? Au huwa ni maneno yakupumbaza watu wasifikirie haki zao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa chawa wa team wema hawafi kazi sana mkuu
 
Ukiagiza mizgo ujue Tax charges ni almost 100% ya invoice. Angalia jinsi serikali isivyo fair.
Mzee mmoja mfanyabiashara alinisimuliaa kuwa, Kodi ya customs ni kubwa na inataka kulingana na bei ya kununulia mzigo. Hapo wanachofanya ni kuunder value bei ya mzigo. Mfano Badala ya 100m unaenda customs anamhonga hela kama 2m jamaa anaandika 30m halafu unalipa kodi ndogo. Sasa shida inakuja baada ya mzigo kutoka bandarini 🤣🤣
Nyaraka zinakuwa hazijitoshelezi, hapo tra wakikaza itabidi wapewe rushwa tu.
Kiufupi shida ni kodi kubwa sana bandarini hivyo watu wanaundervalue mzigo. Huko mbeleni hakuna nyaraka, na kutoa risiti inataka vat 18%. Hapo faida ni ndogo na ukichanganya na gharama za kuendeshea biashara na hujuma na fitina za biashara lazima mtu uone chenga.


NB: pakija mfumo ambao ni automatic na centralized wa kodi kati ya bandari na tra. Watumishi wa bandari na TRA watakufa njaa 🤣🤣. Mnadhani mtu kaajiriwa mwaka mmoja tayari ana nyumba mbili, gari mbili kali na mchepuko wenye Tako kubwa, unadhani hela anatoa wapi? Ni rushwa hizi zinawapa hela.
Na tra wanatumika kwenye vita za kibiashara, na tra hawakosi kosa hata siku moja .

DeepPond uje uelezee kwa kina hizi kodi Watery
 

Nchi ina madini ina mbuga za wanyama, bandari bado tunahangaika na kodi za maskini. Huko serikalini rushwa zimejaa ndomana taifa halipigi hatua kodi ilibidi iwe last option.
 
Kuorodhesha biashara zako alafu TRA na police wakufanyie Uhanithi na ushenzi kama ule waliomfanyia yule mfanyabiashara wa kigoma mpaka leo analia na mke wake amekua mwendawazimu?? Kufanya biashara Tanzania kunahitaji uvumilivu sana na roho katili la sivyo hufanikiwi
 
Na hapo bado huja kutana na trafk,bira kisahau wale wenzetu wa fire lakini soko linaungua hwapo na hera usha toa🤣🤣

Jaribu jiulize y now siasa nimchongo kuliko elimu? Serikali yetu inaharibu sana mkuu
 
Sasa unaona hoja hapo ni kodi kuwa kubwa wala sio kodi kukusanywa ndani kama huyo mwenzio alivyosema, maana alitaka kodi ikusanywe bandarini na border pekee. Jambo ambalo hutokaa ulipata maishani
 
Hii inatumika kama justification ya kuwasumbua wafanyabiashara K/Koo na sehemu zingine za biashara ktk nchi hii. But sababu kubwa ni kutaka rushwa tu, period!!!!!!!!!!!!
Muwe mnajielimisha kabla ya kuanza kulalamika na mjue mnalalamikia nini. Tatizo lenu kodi ni kubwa, sio kodi kukatwa ndani. Na kama kuna rushwa nalo ni tatizo jingine la kuzungumzia.

Nakuuliza hivi, nikiwa na hoteli kubwa 5 star, nikawa nanunua mahitaji ya hotel yote ndani ya nchi ni lini nitalipa kodi kama serikali inatoza kodi border na bandarini pekee? Au nyinyi import na export taxes kwenu ndio kodi pekee mnazojua.

VAT, property tax, sales tax, capital gain, witholding tax na nyingine zitatozwa wapi kama mnataka watoze bandarini na border pekee.
 
Jamaa yangu wa kariakoo ananitonya wanayopitia...nimemwambia tulia nchi inakwenda kufunguliwa...unapigwa mwingi.

1.mzigo unapoingia bandalini Kodi kibao
2.kodi ya mapato
3.leseni
4.service levi
5.fire extinguisher
6.usafi wa taka kajenjere na usafi wa jengo
7.kodi ya frem
8.choo
9.ulinzi frem
10.umeme
11.wafanyakazi
12.ulinzi store
13.kodi ya pango la store
14.kusajili ghala/store
15.kodi ya egesho la gari
16. kibari cha TBS
17 .bill ya maji na watu wa osha
 
Unataka hao vishoka wakale wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…