Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Serikali ina malengo mengi, mikopo inagota makusanyo hayatoshi, hivyo wanatafuta mbinu nyingine ya kukamata zaidi.
Na ikumbukwe KKOO inachangia mapato mengi ya serikali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa chawa wa team wema hawafi kazi sana mkuuKwani si walisema sahizi kulipa kodi ni kwa kirafiki kabisa sio kipindi kile kukimbizana, imekuwaje tena? Au huwa ni maneno yakupumbaza watu wasifikirie haki zao?
Mzee mmoja mfanyabiashara alinisimuliaa kuwa, Kodi ya customs ni kubwa na inataka kulingana na bei ya kununulia mzigo. Hapo wanachofanya ni kuunder value bei ya mzigo. Mfano Badala ya 100m unaenda customs anamhonga hela kama 2m jamaa anaandika 30m halafu unalipa kodi ndogo. Sasa shida inakuja baada ya mzigo kutoka bandarini 🤣🤣Ukiagiza mizgo ujue Tax charges ni almost 100% ya invoice. Angalia jinsi serikali isivyo fair.
Kama Mjadala wa bungeni ulikuwa wa Kweli kwamba Container la vitenge lenye ulefu wa futi 40 hapa Tanzania linatozwa Kodi ya Tzs 280milioni, Kenya Container la vitenge lenye ulefu wa futi 40 linatozwa Kodi sawa na Tzs 35 milioni, na Zambia container la vitenge lenye ulefu wa futi 40 linatozwa Kodi sawa na Tzs 30 milioni. Kodi za hapa Tanzania ni za kishenzi! Na zinaharibu uwezo wa Watu kununua bidhaa na hivyo kuvuruga mzunguko wa biashara na kuua mtaji ya watu.
Lakini pia nimeona wasafirishaji wa Malory wakisajiri Malory kwa plate number za Zambia na Congo. Kuna Tetes kuwa hela ya kununua na kusajali Lory moja hapa Tanzania ni hela ya kununua na kusajali Malory mawili kule Zambia na change kubakia. Nchi hii inatoza Kodi za kukomoana sana.
Kuorodhesha biashara zako alafu TRA na police wakufanyie Uhanithi na ushenzi kama ule waliomfanyia yule mfanyabiashara wa kigoma mpaka leo analia na mke wake amekua mwendawazimu?? Kufanya biashara Tanzania kunahitaji uvumilivu sana na roho katili la sivyo hufanikiwiKuna ubaya gani TRA kuwataka muorodheshe store zenu mnazohifadhia mali? mnaficha kitu gani? wanataka wazifahamu ili wawe wanazikagua, kwasababu huko Kariakoo kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi.
Hata kama hizo kodi zinatumika hovyo serikalini, vyema store zenu zifahamike, ili mkiwatoroka bandarini mkakutane nao store, anyway niwapongeze hao wafanyabiashara kwa uthubutu wao, hata kama sikubaliani na madai yao.
NB.
Hao jamaa wanasema mfanyabiashara mwenzao yeyote atakayefungua duka ni halali yao, hivi wanazijua sheria za nchi?
Na hapo bado huja kutana na trafk,bira kisahau wale wenzetu wa fire lakini soko linaungua hwapo na hera usha toa🤣🤣Sijawahi na pengine sitakuja kuwahi kuelewa hizi kodi zinavyokatwa
Mzigo ukifika bandarini unatokutana na tra
Mzigo huohuo ukifika dukani unakutana tena na tra
Sasa najiulizaga yule tra wa bandarini ni tofauti na huyu wa dukani????
Na km wote ni TRA, hizi kodi za mara mbilimbili zinalenga nini????
Nasema Mtanikumbuka ila sio kwa mabaya ila Mazuri🤐😭😭😭😭😭😭Mtanikumbuka
Sasa unaona hoja hapo ni kodi kuwa kubwa wala sio kodi kukusanywa ndani kama huyo mwenzio alivyosema, maana alitaka kodi ikusanywe bandarini na border pekee. Jambo ambalo hutokaa ulipata maishaniHata huko mipakani nani angekwepa kulipa Kodi kama Kodi za hapa Tanzania zingekua rafiki kwa walipa Kodi? Mfano shati iliyoingizwa Uganda toka China utakuta Kampala Uganda bei ya leja leja inauzwa sawa na Tzs 3500. Lakini Shati hiyo hiyo imengizwa Tanzania toka China Kariakoo inauzwa bei ya jumla sawa na Tzs 14500. Ili Shati hilo liuzwe kwa bei ya leja leja sawa Tzs 15000. Kwa hapo ni nani anaye chochea biashara ya magendo mipakani? . Mfano mwingine kwenye mpaka wa Tanzania na Zambia, kwa vile Kodi ya vitenge Tanzania ni kubwa sana, vitenge vilivyoingia Zambia kutoka China kupitia Bandari ya Dar, bei ya Zambia ni nusu ya bei ya Tanzania hivyo wafanyabiashara wanajaribu kuingiza vitenge Tanzania kutoka Zambia. Na kwa sababu Kodi ya Tanzania ya kishenzi ikitozwa hicho kitenge bei yake inaendelea kuzuia mzunguko wa biashara, mfanyabiashara atatafuta njia ya kukwepa Kodi.
Muwe mnajielimisha kabla ya kuanza kulalamika na mjue mnalalamikia nini. Tatizo lenu kodi ni kubwa, sio kodi kukatwa ndani. Na kama kuna rushwa nalo ni tatizo jingine la kuzungumzia.Hii inatumika kama justification ya kuwasumbua wafanyabiashara K/Koo na sehemu zingine za biashara ktk nchi hii. But sababu kubwa ni kutaka rushwa tu, period!!!!!!!!!!!!
Unapakatwa.Hamna ubavu wa kugoma nyie,mkale wapi?lipeni Kodi acheni janja janja,hakuna mjasiriamali kariakoo mwenye kuweza kufunga goli lake walau wiki moja,hakunaaa🙏
Unataka hao vishoka wakale wapiHivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
Leo mtakula mlikopeleka mbogaMawinga leo kazi tunayo...
Mhesh ameshamaliza...Leo mtakula mlikopeleka mboga
Hahahah mnaenda kutega mingoMhesh ameshamaliza...
Kesho mapema kwenye Kigoli..