Hakuna mgomo usio na kikomo hapo🤣🤣kesho watafungua frem hizo,mark my words 🤣🤣Inaonekana sasa Watanzania ni kama wanaanza kuamka kifikra .
Mgomo usio na kikomo si kitu kizuri kwa sehemu kama kariakoo.
Na ndio kilikuwa kichaka cha machinga !!Sasa hivi hadi store nayo wanataka waitandike kodi!
mama ni laini mno awezi amini nakwambia.Serikalini kumevamiwa na majambazi
Mama assfishe korido zake
Taarifa anazooewa na wataalam wa idara azifanyiekazi kuokoa uchumi wetu
Kipindi cha JPM wafanyabiashara halali walikuwa wanasikilizwa vizuri na kero zao zinatatuliwa. Lakin sasa serikali ya KULA KWA UREFU WA KAMBA TRA wanakula kwa urefu wa kamba zao na hakuna anayejali sawa
Hamna ubavu wa kugoma nyie,mkale wapi?lipeni Kodi acheni janja janja,hakuna mjasiriamali kariakoo mwenye kuweza kufunga goli lake walau wiki moja,hakunaaa[emoji120]
Yeye mwenyewe jambaziSerikalini kumevamiwa na majambazi
Mama assfishe korido zake
Taarifa anazooewa na wataalam wa idara azifanyiekazi kuokoa uchumi wetu
Kwanini unasema kulipa kodi ni kuviziana, unaviziwa nini? Kama unalipa kodi sawasawa wanakuvizia kitu gani. Unataka wasije kukagua kwako unaficha nini?kurekebisha katika hili la kuzungukwa na nchi 8 halina shida ni baraka sasa tusifanye kuwa ni laana. Kazi ya nchi kuweka mifumo mipakani sio bidhaa imefika dukani ndio mnakaa nje kuvizia watu na huko viwandani ndio rahisi kabisa kukusanya kodi hakuna sababu yoyote ya haya kila changamoto kuna solution japo haiwezi kuziba 100%
ChoiceVariable mambo ya dokta wa uchumi haya au siyo?Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa
Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana
Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea
Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali
Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana
Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
Kama umewahi kufanya biashara kipindi cha tech za efd , Vat and the likes kuna kipindi at your will unatamani kabisa ufunge biashara kwa hiyari. Ili upumzike na usumbufu wa Tra.Hakuna mgomo usio na kikomo hapo🤣🤣kesho watafungua frem hizo,mark my words 🤣🤣
Punguza makasirikoKwanini unasema kulipa kodi ni kuviziana, unaviziwa nini? Kama unalipa kodi sawasawa wanakuvizia kitu gani. Unataka wasije kukagua kwako unaficha nini?
Kwahiyo na wauza madawa muhimu wasiwe wanakaguliwa kwa sababu wanaviziwa. Wazalishaji viwandani wasiwe wanakaguliwa ubora kisa washapewa leseni hivyo wasiviziwe. Mahospitali binafsi yasiwe yanafanyiwa ukaguzi, watu wauziwe madawa yasiyo na ubora na madaktari wasio na vigezo kisa hospitali zisiviziwe.
Sheria ya kodi inasema kodi ikusanywe kila mnyororo wa thamani unapoongezeka. Na wewe unanunua kitu kwa 800, unakiuza kwa 1500 tiyari kuna thamani imeongezeka wanakuja kuchukua % kadhaa. Wakikusanya kodi kupitia mpakani na bandarini pekee Hyatt Regency, The Kilimanjaro italipaje kodi? Maana hainunui nyanya na kabeji nje, haipitishi nyama bandarini wala mpakani?
Nchi zenye mifumo mizuri ya kodi huwa zinavizia vizuri sana na ole wako ukutwe umekwepa kodi, jera nje nje.
Mwigulu bogasi sanaa
Kama Ulimboka alivyotekwa?Hakuna mantiki yoyote ya kupiga Kodi dukani tena unapiga Kodi stoo kwenye bidhaa zile zile. Huo ni wizi siyo kodi
Ingekuwa awamu ya 5 waandaaji wa mgomo wangetekwa jana kabla ya mgomo kuanza leo..
Kwa nini hamtaki kuonyesha na kuorodhesha stores zenu??Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa
Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana
Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea
Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali
Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana
Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352