Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Hii ni kkoo sio biashara yako ya kitumbua
Kitendo cha kkoo kugoma hta masaa mawili serikali yako ya ccm inapishana na kodi sio chini 1b
Hajui kodi inayo kusanywa hapo kkoo pekeyake, kuna wilaya nzima haifiki makusanyo yake yote ya kodii yanokusanywa kkoo

Sent from my Q2 using JamiiForums mobile app
 
ChoiceVariable mambo ya dokta wa uchumi haya au siyo?

Taratibu nchi inaelekea shimoni
Kodi lazima mlipe mnatabia ya kuficha Mali kwenye stoo harafu mnapeleka kiduchu dukani Ili mkadiriwe Kodi..

Mkigoma tunawafutia leseni na wote waliogoma hayo maduka tunayafunga marufuku kufungua.

Very simple hii mbona.Tanzania ni kubwa hapo Kariakoo ni sehemu.ndogo sana mapato yake kwa.mwka hayafiki hata Bil.500
 
Umejichanganya kweli ngoja nijibu hoja zako, kama una TRA imara mzigo hautoki ila uwe umelipiwa kila kitu mbona mafuta wameweza? wanachukuwa mpaka VAT huko huko nenda kituo chochote cha mafuta utapata risiti lakini hukuti makato sababu wameshachukuwa. Mungizaji mali anatakiwa kulipa kila kitu mpaka VAT halafu akifanya mauzo yeye ana deal na TRA anaweza ku claim tax refund akiwa na vielelezo kilichoingia ingia kinalingana na alichouza. Hivi hujawahi kwenda nje ukanunua hata simu tu hapo Dubai unalipa VAT ila kama sio mkazi ukifika airport una claim VAT na ukionesha risiti unalipwa sababu mfumo umewekwa wa haki. Unaongelea nyanya hivi toka lini TRA wakakusanya kodi za nyanya hizo ni kodi zinalipwa sokoni na manispaa ndio wanakusanya kodi hizo. ukija mfano mdogo mafuta yakitoka bandarini yanakuwa yameshalipiwa kila kitu lakini mafuta hayo yanapita mikononi kwa wengi kabla kumfikia mlaji ila hukuti kodi tena inaongezeka kuna wale wanachukuwa mzigo jumla wanaweka kwenye tank zao na wao wanauza kwa wenye vituo na bei hizi zinatofautiana sehemu na sehemu lakini makato same na yameshakatwa. Kuvizia ni ujinga ndio sababu container linatoka bandarini halafu linaanza kufukuzwa mitaani kama TRA hawaaminiki kule bandarini badilisha mfumo kuondoa mianya ya udanganyifu ukiondoa urasimu unapunguza mianya ya rushwa. Kariakoo nzima hawawezi kuwa waizi ukiona kijiji kinalalamika ujue kuna shida.
 
Kwa kuwa mna maduka yenu siyo?

Kama kidume kweli jaribu kufanya huo utopolo.

TRA inanuka rushwa halafu mnawanyanyasa walipakodi. Kwani tumesahau tozo ya kipuuzi ilivyotuumiza wananchi?


Try it and you will test your own borth
 
Ni mifumo ya kiunyonyaji tu,, Hiyo ni double taxations. Mfano mwingine ni huu Mimi nikienda dukani kariakoo kuchukua mzigo na Kisha kupewa risiti yangu huwa Kuna Kodi nailipia..lkn mzigo huohuo nikileta dukani kwangu kuuza nakutana na TRA Tena ...kwhy ni mwendo wa kukamuana tu
 
Muilize Dr. Ulimboka awamu ya nne alifanywa nini alipokuwa kiongozi wa mgomo wa madaktari.
Unapokuwa unapigania haki au kupambana na majitu madhalimu hautakiwi kuwazia vitisho vyao wakiteka wa kwenu wakamtesa na nyie mnateka wa kwao mnamtesa na kuwapa taarifa wajue kuwa mnalipiza.
 
Kwa kuwa mna maduka yenu siyo?

Kama kidume kweli jaribu kufanya huo utopolo.

TRA inanuka rushwa halafu mnawanyanyasa walipakodi. Kwani tumesahau tozo ya kipuuzi ilivyotuumiza wananchi?


Try it and you will test your own broth
Maduka yetu wapi? Endeleeni Kigoma.uone kama hatujafuta leseni na mnaanza upya na funawasaka..

Kama TRA inanuka Rushwa na nyie mnakutana na hao waomba Rushwa na sio Waziri Kwa nini hamuwaripoti Kwa mamlaka husika?

Hakuna kuleana Kwa washenzi kama.nyie,watu wenyewe hata sio manufacturer Bali wachuuzi tuu.

Mnaficha bidhaa stoo kukwepa Kodi harafu mnasemaje?
 
Shida ni kutafuta mchawi , watanzania ndio tunakwama hapo ndio sababu hatuwezi kutatua matatizo yetu.
Malalamiko yooote hapo ni kwa Tra, lakini kama kulikuwa na mtu wa kwanza kuwa tagged na hizi lawama alitakiwa kuwa ni mbunge ambaye anaidhinisha hizi sheria .
Anatajwa aingilie Rais ambaye hata hakuwepo bungeni hii miswada ikijadiliwa .
 
Hamuwezi kugoma wiki nyie[emoji1787][emoji1787]kesho njaa na marejesho yatawarudisha kufungua hizo frem zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwan wamesema hawauzi. Ndugu ungejua huu mgomo una faida mara mbili kwa wafanyabiashara usingesema hapa. Sasa usianze kunichimba nikupe Siri za ndani ndani boss. Am sorry.
 
Tanzania sio nchi ya kijamaa, ni ya kibepari zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…