Umenumua aliyekuuzia katengeneza faida kwa hiyo Kuna Kodi upande wake ambayo ataihamishia kwako kwa kuongeza Bei FulaniNi mifumo ya kiunyonyaji tu,, Hiyo ni double taxations. Mfano mwingine ni huu Mimi nikienda dukani kariakoo kuchukua mzigo na Kisha kupewa risiti yangu huwa Kuna Kodi nailipia..lkn mzigo huohuo nikileta dukani kwangu kuuza nakutana na TRA Tena ...kwhy ni mwendo wa kukamuana tu
Wewe unapoenda kuuza unaongeza bei unapata faida kwa hiyo Kuna Kodi kwenye faida yako, hii Kodi kiujanja utaihamishia kwa mnunuzi wako.
Sasa ulitakaje hapo? Aliyekuuzia awali katozwa Kodi kwenye faida yake
Wewe umetozwa Kodi kwenye faida Yako.
UBAYA NI PALE KIWANGO CHA KODI KINAPOKUWA KIKUBWA KULIKO. UHALISIA WA KIBIASHARA