Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Umenumua aliyekuuzia katengeneza faida kwa hiyo Kuna Kodi upande wake ambayo ataihamishia kwako kwa kuongeza Bei Fulani

Wewe unapoenda kuuza unaongeza bei unapata faida kwa hiyo Kuna Kodi kwenye faida yako, hii Kodi kiujanja utaihamishia kwa mnunuzi wako.

Sasa ulitakaje hapo? Aliyekuuzia awali katozwa Kodi kwenye faida yake
Wewe umetozwa Kodi kwenye faida Yako.

UBAYA NI PALE KIWANGO CHA KODI KINAPOKUWA KIKUBWA KULIKO. UHALISIA WA KIBIASHARA
 
Ndugu mwandishi wale wa kofia ngumu wameshaanza kurusha ule moshi unaotoa machozi?
 
Waweke kato moja ambalo litatembea mpaka kwa mlaji. Hii hali ya kutaka kodi kila muamala unapofanyika ni maumivu kwa mlaji wa mwisho.
Kuna sehemu vocha ya 500 ni 550 hadi 600.
 
Hii mechi kati ya WEZI VS MAJAMBAZI ...bet your score..
 
Hebu twambieni kuna shida gani mkiorodhesha store mnazohifadhi bidhaa zenu? Shida iko wapi? Kwani ni kinyume na sheria? Kuna double taxation? Kivipi ni double taxation? Makadirio ni makubwa? Kivipi makadirio ni makubwa?
1. Itakua sio mfanyabiashara nchi hii
2. Hujawahi KUFANYA biashara nchi hii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Serikali imezoea mabavu badala ya kuwaelimisha wahusika.

Haya sasa mukwara na maneno ya OLE WENU imekuwaje sasa?

Kodi ndiyo inayoendesha nchi. Kuikusanya kana kwamba ni vita na unyang'anyi ni kujipalia makaa
Hamna haja ya mikwara.....waachwe waendelee kufunga na ifanyike doria maduka yao yawe salama ili isitokee hujuma.

Mwishowe ukweli lazma usemwe mataita, wazito wote wa kkoo wanafanya biashara kutokea store, hawana fremu
 
Sawa kabisa, nawaunga mkono waliogoma kwa 100%

TRA kumejaa ufisadi na uonevu kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.


Nashauri Kariakoo iwe free trade zone, yenye flat rate ya ushuru na unaolipwa mara moja tu, ili kama nchi tunufaike na soko la nchi zinazotuzunguka.
 
Alipoondoa migambo na ushuru kusema walipie 20, 000 kwa mwaka mlimuona chizi🤣
Sasa endeleeni kuteseka na huyu aliyefungua nchi. Na kuruhusu wapiga dili kila kona
 
Mimi sijaongelea bandarini tu nimesema TRA kwani unaweza kupita mpakani, bandarini au airport bila uwepo wa TRA? wako kila entry ya nchi waweke mfumo wa kisasa kukusanya kodi sio mambo ya kuviziana madukani mambo ya kishamba sana.
Bidhaa nyingi za dar es salaam zinategemea bandari kwa 90%
 
Hamna haja ya mikwara.....waachwe waendelee kufunga na ifanyike doria maduka yao yawe salama ili isitokee hujuma.

Mwishowe ukweli lazma usemwe mataita, wazito wote wa kkoo wanafanya biashara kutokea store, hawana fremu
Kwa nini hizi hoja mnaleta sasa badala ya kukaa nao?

Ukwrpaji kodi
Ukandamizaji kupitia kodi
Unyanyasaji wafanyabiashara....
Yote haya ni matokeo ya CCM kushikiliwa na majizi na kujazana serikalini.

CCM imefeli pakubwa
 
Mzigo mmoja kukata Kodi Mara mbili ni double taxations tu ndio maana mfanyabiashara mchuuzi ni ngumu kutoboa lkn pia ndio maana wafanyabiashara wakubwa wanakwepa Kodi.
 
Hebu twambieni kuna shida gani mkiorodhesha store mnazohifadhi bidhaa zenu? Shida iko wapi? Kwani ni kinyume na sheria? Kuna double taxation? Kivipi ni double taxation? Makadirio ni makubwa? Kivipi makadirio ni makubwa?
Kariakoo maduka yote ya vitu vya aina unayouza dukani kwako yndiyo stoo yako, hakuna duka utakwenda ukahitaji kitu ukaambiwa hakuna, unaambiwa subiri uletewe kutoka stoo, kinafatwa duka lingine unaletewa.

Simpo. Wenye mastoo ni wachache sana.
 
Habari wakuu nipo mtaa wa mchikichi huku kariakoo maduka hayajafunguliwa hadi muda huu kuna nini kwani?

Ngoja niangalie na mitaa mingine.

Hawa wahini washughulikiwe.Yaani wanaingiza bidhaa za kutosha harafu wanazificha stoo ili kukwepa Kodi..

Serikali futia leseni Hawa watu na washtakiwe Kwa uhujumu uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…