Eti wanakaa na kuzb njia ,😐🙂
 
Kama hulalamiki basi unalia, then acha kulia
Hiyo utaamua wewe kama utaniweka wapi kama kwenye kulalamika au kulia ili mradi upate amani ndani ya nafsi yako,moja kati tatizo tulilo nalo baadhi ya binadamu ni kutopenda mtu mwingine kuwa na mtazamo tofauti na hoja yake au kile anachokiamini yeye,mara zote yeye hujiona kuwa ndiyo yupo sahihi.
Mtazamo huo siyo sahihi.
 

Uliyeni- quote ni Mimi mkuu.
Nimesema Wamachinga wao watafungua.

Embu soma vizuri.

Kufungua biashara haimaanishi unaduka
 
Nipe mchanganuo wa kodi kwa kuingiza kontena la vitenge kutoka nje pale bandarini kwa kulinganisha na maeneo mengine kama Zanzibar, Kenya, Uganda na Zambia.

Niwekee data siyo maneno ili twende sawa kwenye mdahalo huu.
Mimi sijawahi kufanya biashara ya hivyo vitenge hivyo kujua huo unaoita mchanganuo si rahisi lakini kwa akili za kawaida tu hilo jambo haliwezekani maana hakuna mfanyabiashara atakayekuwa tayari kuleta hiyo biashara nchini mwako lakini tambua nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki wana itifaki za kikodi hivyo hata kama nchi zitatofautiana katika viwango vya utozaji wa kodi lakini haiwezekani kutofautiana katika kiwango hiko.
 
Spika na Bashe Kwa wamo Jf ninaomba wamsikilize Prof Mkenda
 

Attachments

  • VID-20240624-WA0010.mp4
    19.7 MB
Hadi Mo kagoma.
 
Kama haujawahi fanya usiwabishie wanaofanya, kaa uulize upate ukweli wa mambo ulivyo
 
Tanzania ni kubwa sana, kariakoo ni ndogo sana.
Jaribu kufuatilia mambo boss.
 
Mbona hili ni swala dogo sana. Waache wagome watarudi wenyewe tena kwa kuomba msamaha. Siku tatu watarudi wenyewe maana watanzania hatunaga mazoea ya kuweka stock ya chakula ndani cha wiki nzima.

Huwa ni hand to mouth.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…