Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Arusha,mwanza na mbeya kimenuka,mgomo upoHuku mikoani sijui hali ikoje.
Ccm mnawaza watu kuwa makondoo tu!chadema mnachokifikiria vichwani mwenu ni machafuko kila kukicha
hovyo kabisa
πππ Mawinga mtusamehe jamaniDaaah mawinga wamepoa tu hawaelewi dadekii, hii migomo hii.
Kuna watu leo wanalala njaa.
Mpaji Mungu hali ikoje kwa upande wako??
Adui wa maskini ni maskini mwenzake!
Karume wanalipa kodi?Nyie gomeni wote , ila watu wa karume nsiwakwaze !
Wakigoma tunafanyaje sasa wakati huko ndo angalau tunaweza kupata Gucci na Versace kwa bei nafuu !
Well narrated,wamachinga watagomea vitambulisho na mengi eyo .Kweli machinga wamefungua....mgomo huu hauwahusu.
Nipo K.Koo muda huu..
Machinga wana umoja wao...na kero zao.
Machinga hawana hata EFD...
Machinga hawalipi Service levy...
Machinga hawasumbuliwi na TRA...
Wamefungua na wanafanya biashara kama kawaida.
Walio funga hadi muda huu ni wamiliki wa maduka
Hawajafungua kweli , lakini huu ni unafiki inabidi lao liwe moja ! Kinachoenda kutokea ni kwamba mwenyekiti wa wafanyabiashara kariakoo ndo ataonekana mchochezi huyu mwenyekiti wa wafanyabiashara kitaifa ameshakalishwa kitako yuko upande wa serikali !Sasa mbona hakuna aliyefungua?
Jambo jema ,Karume wanalipa kodi?
Wale si wanalipa 500 za meza?
Karume ni gulio na siyo soko kama kariakoo?
Mnatuua njaa wakulingwa, tutakula wapi sasa??πππ Mawinga mtusamehe jamani
Kwa hiyo chadema ndo wameweka kodi wanazo zipinga hao wafanyabiashara hebu kua serious bwana acha uchawa mavi.Wafanyabiashara waepuke kutumika na upinzani kisiasa
Haitowasaidia bali kuwadidimiza kibiashara
Picha πΌArusha,mwanza na mbeya kimenuka,mgomo upo
ChryWashawagawa tayari , ila serikali π€£π€£
Ndo nashangaa mod wanafuta post yangu pasipo kujali wafute na ID basiHiyo quote wameifuta?
kaka Hizi nzi akina hyperlink96 ni hasara kwa taifa, Baba yake "ange-withdraw dushe" kuliko kuleta hii hasara kwa taifa!Kwa hiyo chadema ndo wameweka kodi wanazo zipinga hao wafanyabiashara hebu kua serious bwana acha uchawa mavi.
Mkuu kwa hiyo viongozi ni kama hawakua tayari kugoma ? Au walihamasisha kugoma ila baadae wamewasaliti wenzao ? Au wametishiwa na serikali ?Chry
Hakuna mgawanyiko yaani kumuona fred, Martin na Hamis sehemu fulani pamoja na muhindi mmoja mkubwa hiyo ni ishara Kwanini hata barua haikuwa na jina.
Haiitaji degree kuelewa nini kimefanyika hapa.