Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
DP WORLD watafu
Umeandika Kwa kurudia rekebisha
 
Mwenyekiti wao wa "MAMA TUVUSHE 2025" akafungue duka lake yeye na Chalamila. Si ndo wanajifanya wanawaamulia watu matakwa yao!
Usikute hana hata kiduka cha peremende ila maCCM yamemuweka pale ili kuzuia harakati zozote za wafanyabiashara katika kujikomboa na ukandamizaji wa CCM.
Police waende wakafungue maduka sasa
 
1. Njia moja wapo ya kuitafuta haki halisi, ni kuigomea haki bandia au fake..

2. Tukimaliza kariakoo kwa wafanyabiashara, tupewe ratiba ya mwaka mzima ya kutaka haki halisi ya masuala mengine yakimkakati ambayo hayajaenda Sawa..
 
Na hili ndio tatizo la watanzania.

"No matter who you with or where you're at, or where to
"There's always gon' be three little pigs livin' near you"

Joyner Lucas
 
Sasa machinga anafungua duka !?? ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…