Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
DP WORLD watafuHii nchi tuuzeni tugawane hela!
Umeandika Kwa kurudia rekebishaJana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
Songwe pia hawajafungua!Tuko mitaani na tutawajulisha kila kinachoendelea.
Je baada ya Mkwara wa Polisi na mipasho ya Chalamila hali ikoje?
PAMOJA TUNAJENGA TAIFA.
View attachment 3024305View attachment 3024306View attachment 3024307
Robert
Achana tu na kukanusha. Hata barua imetoka kwa nani haionyeshi. Nafikiri utaelewa ni nini maana ya hilo.
Naona umeshasahau. Tuliiuza hapo zamani ili tugawane Noah kila mmoja wetu. Matokeo yake hata Bajaj hatukupata!Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
Biashara asubuhi, jioni mahesabu.Watu wamechelewa mwendokasi kutoka Kimara kuja Karakoo kufungua maduka lakini siyo mgomo!
Kama utani barua ilisambaaa jumamosi saa tisa hv kwenye magroupRobert
Achana tu na kukanusha. Hata barua imetoka kwa nani haionyeshi. Nafikiri utaelewa ni nini maana ya hilo.
😀😀Wakupe ban ya kuanzia🤣
noah kabisa!Naona umeshasahau. Tuliiuza hapo zamani ili tugawane Noah kila mmoja wetu. Matokeo yake hata Bajaj hatukupata!
Tukishagawana ,ataKayeamua kuishi na mnunuzi ataishi akiwa na ukwasi ila wengine ni Gen A mpaka Y😀😀😀😀Hii nchi tuuzeni tugawane hela!
Kizazi cha Millennial ndiyo tupo😅ah wapi, Gen Z wa Bongo wako busy malojini kuunganisha vikojoleo
Na hili ndio tatizo la watanzania.Jana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia
nyumba ya urithiHii nchi tuuzeni tugawane hela!
Madai yao yana-manktiki sana
ccm ni laana kwa taifaWafanyabiashara waepuke kutumika na upinzani kisiasa
Haitowasaidia bali kuwadidimiza kibiashara
Sasa machinga anafungua duka !?? ....Jana nilikuwa huko Kariakoo.
Kuna mgawanyiko baina ya Wafanyabishara.
Wapo watakaofungua na wapo watakaofungua.
Nilisikia Machinga wakisema wao sio wafanyabiashara. Wao wana umoja wao hivyo wao watafungua.
Wamachinga ni wale wenye vimeza wanaokaa na kuziba njia