MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

Kumekucha!
 
Uzuri viongozi wetu wanajua nguvu ya soko la kariakoo, kariakoo inahudumia masoko ya ndani na nje kama Congo na Malawi
 
Ili baki kidogo tuu ujiite nguruwe

Sema mwishoni kwel sisi wanafki Sana.
 
Mawazo ya kijinga haya
 
Umeongea madudu tu Zambia,Zimbabwe,SA au Botswana tunanunua mizigo hatukamatwi kama wanavyokamatwa kariakoo ni vile hampo kwenye biashara ndio maana unaweza kuongea chochote hapa Jozi unaweza kushusha kontena hautapata usumbufu kama kutuma box tatu Tanzania...maana hakuna kontena au mzigo utafika bila kulipiwa ni vile Watanzania wengi wamedumaa wanakua na maamuzi ya kuua Biashara kwa Nchi iliyo na Bandari ila Watanzania wanafata mizigo Uganda na Kenya kama sio Ujinga huo ni nini?waweke mazingira mazuri kwa Wafanyabiashara na wanunuzi ili watu wapate bidhaa bora na kwa bei nafuu..
 
lichawa likubwa hili
#kataaChawa
#KataaUozo2025
 
"MSHALE WA JICHO UTAKUWA HALALI YAKO"mwisho wa kunukuu tangazo!🥰😂
 
Hii iwekwe kwenye mlango wa kila nyumba Tanganyika, mjini na vijijini.
 
Kama ndivyo wananchi wote tunawaza basi wala sio kosa la Rais Samia peke yake, ni letu sote.

Serikali ni Taasisi na utendaji na utimizaji wa wajibu ni jukumu la wahusika wote waliopo serikalini ndani ya hiyo/hizo Taasisi zake.

Ni kipindi cha Hayati Magufuli watu walilalamika pia kuhusu “one man show” iliyokua inaendelea.

Bahati mbaya sana haya yanayoendelea sasa yanathibitisha hulka ya binaadam anapopewa nafasi na Uhuru mpaka wa nafsi.
 
Haya mambo ya migomo haya bna jau sana, sometimes wanapambania kisichokuathiri ila inabidi uunge mkono, maana ukiwa mkaidi hawachelewi kukufanyia zengwe.

Hili ni pigo kwa wenye mikopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…