Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
lakini pia sioni ubaya ni sehemu ya kuongeza maarifa na kupata suport kwa kile ulichogundua.ndivyo wanavyofanya hapo TMJ tunapoamrishwa tufuate vipimo,
Tena ukiwa mbishi wanakuchukua mpaka kwenye Computer yao, wanagoogle mbele yako ili kukuthibitishia usasahihi wa majibu yao!