Hata mimi hapo nashindwa kuelewa.Huyo demu alipigwa shot ya sumu. Kisha wakamchoma ili kupoteza ushahidi. Sema nashindwa kuelewa ni kwamba walimteka tokea kanisani au relationshipa ya hio Camera na kanisa ikoje?
ukisikiliza hiyo audio aliyoweka mshana, baba wa mtoto anadai mtoto wake alichomwa sindano ya kuua figo na kuomba vyombo vya usalama vifanye uchunguzi japokuwa wengi mitandaoni wamehusisha na mambo ya mahusiano lkn inaweza kuwa ni mambo ya kazi pia.Edge of darkness.......Binti wa Mel Gibson alikua anafanya kazi kwenye chemical plant, akauliwa, kwakuwa alikuwa ana siri kubwa kuhusu hiyo plant na alikuwa ana plan ya kui expose kwa public.
Mwisho baba nae alikufa.
Hii case nayo ni same scenario? [emoji848]
Huyo demu alipigwa shot ya sumu. Kisha wakamchoma ili kupoteza ushahidi. Sema nashindwa kuelewa ni kwamba walimteka tokea kanisani au relationshipa ya hio Camera na kanisa ikoje?
Muuaji atashikwa tu sababu mzee mpunga upo tena cash bila bima 🤣🤣🤣Duh poleni sana wafiwa..kumbe huyu binti ni wa Mzee Towo.
Huyu mzee nimefahamiana naye,amewahi kuwa Boss wangu kwa kipindi fulani akiwa wizara ya Afya.
sasa mimi nakwambia ni VIBAKA wapuuzi tu hawana mbinu zozote za kufanya uhalifu. Yani unamchoma mtu sindano ya sumu unaona hajafa vizuri unaamua kumchoma moto?? tena moto wenyewe madaktari wanasema haujamuathiri sana. Wataalamu wanatumia mbinu moja tu kukupoteza sio kubahatisha mara sindano...mara motoo yani hata dose ya sumu iliwashinda kucalculate.I'm doing my home-work.
Kwanini wamchome moto akiwa hai?
Aliwezaje kufanikiwa kuwatoroka?
Je walipomteka walimtoa fahamu kwanza, wakaamini wameshamuua ndipo wakaenda kumchoma moto, na kuondoka? na hivyo moto ukamzindua na kuanza kukimbia?
Au, walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo na kuwaelemea wengine?
Waliofanya tukio hili are very professional events planners and killers, nawwza nikathubutu kusema waliofanya tukio hili hawatokei ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Ngoja tuoneUNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA
Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …
Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..
Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..
Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?
Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..
Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..
Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..
Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
For sureAcheni masihara ndio hii pisi kali?
Uyu boss ali plan kama yuko kwenye bongo movieUNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA
Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …
Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..
Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..
Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?
Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..
Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..
Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..
Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Loh! Pole yake sana!UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA
Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …
Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..
Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..
Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?
Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..
Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..
Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..
Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Naam mkuu..Muuaji atashikwa tu sababu mzee mpunga upo tena cash bila bima 🤣🤣🤣
Na ndio nilichokiwaza mie.Haya mambo bado yapo?!
Huenda kuna mchezo mchafu umefanyika na huyu ndio angekuwa shahidi muhimu wakaoona wamuondoe.
Je kwann boss ampgie baba Martha Simi kumtaka amwambie Binti ake aache kazi within 24hrsafoji check ya 1B
Du
Unaweza Kuta ni uwongo na kesi za mauaji zinachukua Hadi miaka 6 alafu unakuta boss Hana tatizo
Ngoja polisi wafanye kazi Yao uzuri Martha aliongea kabla ya kuchomwaUyu boss ali plan kama yuko kwenye bongo movie
Imasemekana ila ni uongo.Je kwann boss ampgie baba Martha Simi kumtaka amwambie Binti ake aache kazi within 24hrs
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Inasemekana ila ww moja Kwa moja unasema ni uongo, haya tuambie ukwel huenda unajua Kila ktuImasemekana ila ni uongo.
Hapo Kuna Planning kubwa ya kumuua