kuna ushaid wowote wa kuhusika kwake ? waafrika mnapenda udaku kuliko uhalisia , Panya road wanapiga tukio Kawe katikat ya kamb za jeshi na kituo cha polisi juuMsijifiche kwenye tukio Moja, ilikua wazi ukiwa upinzani utashughulikiwa. List ni ndefu Kuna Mawazo, Saa nane, Katibu wa Hananasif, Kina Akwilina, Azory, manusura Lissu n.k alafu unamsafishaje huyo mtu kuwa hahusiki?
JPM mtasema mchapa kazi ila pia alikua katili na dikteta and you will never change that.
Lissu hakutoa ushirikiano na jeshi la polisi sio siriHata hili halikubaliki ukubali upumbavu kisa Magufuri hayupo,hili halikubaliki na waliohusika watafutwe na sheria ifuate mkondo wake,kama serikali ikitulia kama ilivyotulia kwenye swala la Lissu ninasema kuwa suspect namba one ni wao kama wakishindwa kuwakamata wahalifu.
acha ukabila mkuu , mbona una akili barbaric hivyo , mzungumzie mlengwa sio kugusa mabila ya watu , ukabila popote huanza kiutan kaa hv mnaishia kuuana , Rwanda ukabila ulianza hv hvSukuma gang ili kumchafua rais aliyepo madarakani
Kaangalie hotuba ya Mo anasema akitekwa na watu wanaongea kireno wametokea msumbiji , leo huko kaskazin mwa msumbiji kinaendelea nini , Vita sio kuvamia kambi ya jeshi tu bali hata kukuchafua pia ni mbinu ya kivitaMkuu matukio ya uhalifu hayajawai kuisha hata ukiongoza wewe na ukawa clean ,huyo shujaa wenu katika kipindi chake hayo matukio yaliongezeka kwa kiwango cha juu sana....Wafuasi wa shujaa hamuwezi kumtetea JIKONO JANDAMA kwenye sector hiyo ,watu wengi walipotea ,siku hizi wanaokota miili kwenye viroba?
Huyu naye kanywa wapi? Virobo vimerudi? Jaribu kusoma kwa ufahamu!kama mpk sasa huon uozo wa awam zilizopita pamoja na hii bas jiite TAKATAKA , hujui unaelekea wap
panya road wametawala Tz nzima , huko mtwara hamuambiw hali sio nzuri kabisa pamoja na kuweka kambi mpakan , mwaka juzi december nlikuwa pale masasi bar ya Himo nkaona wanajeshi wanarudi wamechoka hatar , hamuambiw ila sio powa omben mungu tu mliamua kupenda afeTangu jiwe ameondoka vifo vingapi vimeshatokea vya utata utata ??
Mkuu wa ukabila yuko Chato ametulia.acha ukabila mkuu , mbona una akili barbaric hivyo , mzungumzie mlengwa sio kugusa mabila ya watu , ukabila popote huanza kiutan kaa hv mnaishia kuuana , Rwanda ukabila ulianza hv hv
Hata kuandika haujui.Sasa ndiyo umekaza mifupa unajibujibu nilichoandika?Mafi ya bata wewe!wahujumu uchumi hukumu yenu inawasubir unafiki sio solution , mnajua uchafu wenu na mnajuwa mzee walidhibit mnamalizia hasira kwake , kibaya zaid chuki zenu mnataka tuletea ukabila Wapmbavwww nyny , tumetoka karne ya 20 tunaingia karne ya 21 hlf mijinga inatuletea ukabila TUSHATOKA HUKO MPUMBV WW
Tutolee story za marehem , Wewe acha kuturudisha zama za giza , Mpenz wa ukabila ni yule maskini wa hojaMkuu wa ukabila yuko Chato ametulia.
Kwahiyo mtu akiwa mkuda adhabu yake ni kuuawa?!Cheo dhamana! Unaweza kuta alikua mkuda
maskin wa hoja ushamia kwey vilevi? jikite kwenye hojaHuyu naye kanywa wapi? Virobo vimerudi? Jaribu kusoma kwa ufahamu!
Alitukuta wamoja akaleta ukabila,uchama na ukanda ili atutawale vizuri,Mungu akasema noo hii ni Tanzania ya watu bila kujali chama,kabila dini na dunia ikashuhudia kifo chake cha aibu.Tutolee story za marehem , Wewe acha kuturudisha zama za giza , Mpenz wa ukabila ni yule maskini wa hoja
simjui wala sijawai kumuona wala yeye kuniona , Tatizo ni kutak kutumia njia haramu na ya haraka kupata hela , hapo alipaziba ndio maana mnalalamikia ila mkimbwa ushaidi wa chochote unamshutumu utakuta huna loloteWewe ulikuwa kibaraka wake ndo maana.
Nilichokua nasimulia hakihusiani na kisa cha huyu mama! Ila story yake imenikumbusha tukio la kufanana na hili lililotokea miaka miiiiiiingi iliyopitahabarileo.co.tz
https://habarileo.co.tz › mhasibu-ate...
Mhasibu atekwa, achomwa moto kwa petroli
18 hours ago — Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Pius Lutumo amemtaja marehemu ni Martha Towo (30) mkazi wa Kwa Mbonde wilayani Kibaha.
Huyu anayehusika na utekaji na mauaji yanayoendelea ni wakala mpya au ndio huyohuyo unayemjua wewe?!Enzi za jiwe kila nafsi ilikuwa hatarini. Yule alikuwa wakala halisi wa ibilisi
Kaangalie hotuba ya Mo anasema akitekwa na watu wanaongea kireno wametokea msumbiji , leo huko kaskazin mwa msumbiji kinaendelea nini , Vita sio kuvamia kambi ya jeshi tu bali hata kukuchafua pia ni mbinu ya kivita
Wapo majuha huwa wanadhani wataishi milele hapa Duniani !! Kumbe hamna kitu muda sio mrefu na wao watazimika tu tena kwa mateso makubwa !!Inasikitisha sana, kifo ni juu ya Mungu tumuachie Mungu kazi yake.
Alafu sehemu nyingi watu au vibarua wanawalaumu wahasibu, kwenye malipo wanafikili wanapunjwaau wanakula Ela zao, kumbe yeye kaambiwa na ngazi za juu jinsi ya kulipa.Mimi kitaaluma kabisa ni muhasibu japo ninayoyafanya sshv ni nje ya hiyo prof, nimesha fanya kazi hiyo japo sikufika mbali nikachochora, najua hekaya za hawa mabwana na nina mifano hai ya madhila yanayo wakuta waasibu, nimesha wahi simulia siku moja mkasa mmoja wa muhasibu fulani kwenye moja ya thread japo siikumbuki ilikua ina husu nini, ila ili pelekea nikakumbuka huo mkasa na kuuchangia! Labda kwa fikra ndogo tu! Tofauti na ishu za ugoni nini kingine kinaweza kikasababisha tukio kama hilo kama sio zuluma ama ukuda makazini!? Kuna mahala tuliajiriwa kama wahasibu wanne hivi tukapewa tutorial ya kazi yao jinsi wanavyofanya, awali nilishituka, kulingana na utaratibu wao ikabidi tufanye kadiri walivyokua wanataka, kumbe tulikua mbuzi wa kafara