Mheshimiwa Makonda wewe ni kiongozi shujaa watanzania wanakupenda sana

Mheshimiwa Makonda wewe ni kiongozi shujaa watanzania wanakupenda sana

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
 
Shujaa wako inasemekana kaumiza watu wengi sana, mpaka unafikia kufungiwa VISA na nchi kama US kuna mengi nyuma ya pazia machafu sana, hata sponsor wake JPM alichoka na kumtupa nje, simjui lakini kwa machache ya ovyo niliyoona live mitandaoni, hana maana ni mtu wa ovyo tuu
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Makonda aka malyamungu magufuli hencman

Alitumwa Toka Ikulu kuvamia clouds kisa hawaweka kipindi Cha kumkashifu gwajima
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Watanzania gani?
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Punguza ujinga wewe mnafiki, watanzania gani hao unawaongelea?. Stupid idiot.
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Ngoja makonda aje acomment
 
Shujaa wako inasemekana kaumiza watu wengi sana, mpaka unafikia kufungiwa VISA na nchi kama US kuna mengi nyuma ya pazia machafu sana, hata sponsor wake JPM alichoka na kumtupa nje, simjui lakini kwa machache ya ovyo niliyoona live mitandaoni, hana maana ni mtu wa ovyo tuu
Kusema kwamba Mwamba Magufuli alimchoka Makonda ni urongo mtupu! Wote walioenda kugombea ubunge waliambiwa mapema ya kwamba wataondolewa kwenye nafasi wanazoshikilia na Makonda alienda kugombea ubunge Kigamboni. Akatolewa kwenye uRC.
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
shujaa kwenye ukoo wenu wengine tutoe
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Lini umekuwa msemaji wa Watanzania wote?
Kama umempenda wewe nenda kanywe nae chai.
 
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.

Ubarikiwe zaidi
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Endelea kudanganya watu kuwa Makonda anapendwa.
 
Kwa ile mikutano yake kipindi akiwa mwenezi, inaonekana Makonda kule field anakubalika zaidi ya viongozi wengi wa CCM, ndio maana waoga wanaoutaka Urais wamemuwekea sumu.
Naomba hiyo sumu ivuruge viungo, hili shetani hata liki survive liishi kwa shida tu. Bashite hafai kuwa hai
 
Back
Top Bottom