Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Sawasawa! Ahahahahaha!!Na Kafulila aka Tumbiri akaondolewa uRAS 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa! Ahahahahaha!!Na Kafulila aka Tumbiri akaondolewa uRAS 😂
Sendeka na Mnyeti wakatoboa 😀Sawasawa! Ahahahahaha!!
Punguza shobo kwa mabeberu mkuu.Shujaa wako inasemekana kaumiza watu wengi sana, mpaka unafikia kufungiwa VISA na nchi kama US kuna mengi nyuma ya pazia machafu sana, hata sponsor wake JPM alichoka na kumtupa nje, simjui lakini kwa machache ya ovyo niliyoona live mitandaoni, hana maana ni mtu wa ovyo tuu
Ahahahahaha! Watu wanasubiri maajabu kwa Mwamposa wakati hata CCM yapo! Ahahahahaha!!!Sendeka na Mnyeti wakatoboa 😀
Anaongelea watanzania wote naweweukiwemo, siku ubongo wako ukitulia ndio utajua amekuongelea nawewepia.Punguza ujinga wewe mnafiki, watanzania gani hao unawaongelea?. Stupid idiot.
Kejeli zile mkuu. Utampendaje muuaji kwa kushirikiana na jpm?Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.
Ubarikiwe zaidi
Sema baadhi ya waTanganyikaMheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.
Ubarikiwe zaidi
Msoga wanasemajeMheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.
Ubarikiwe zaidi
Hao watu weng si uwataje! Waorodheshe hapa hao watu walioumizwa na Makonda ndugu yang kukata mzizi wa fitna.Shujaa wako inasemekana kaumiza watu wengi sana, mpaka unafikia kufungiwa VISA na nchi kama US kuna mengi nyuma ya pazia machafu sana, hata sponsor wake JPM alichoka na kumtupa nje, simjui lakini kwa machache ya ovyo niliyoona live mitandaoni, hana maana ni mtu wa ovyo tuu
Kwani Ubunge na Urc wapi panalipa?Kusema kwamba Mwamba Magufuli alimchoka Makonda ni urongo mtupu! Wote walioenda kugombea ubunge waliambiwa mapema ya kwamba wataondolewa kwenye nafasi wanazoshikilia na Makonda alienda kugombea ubunge Kigamboni. Akatolewa kwenye uRC.
Utakufa kwa presha mkuu punguza mahasira ya kipumbavu [emoji23].Naomba hiyo sumu ivuruge viungo, hili shetani hata liki survive liishi kwa shida tu. Bashite hafai kuwa hai
Huyo paka wako atakufa ameachama mdomo na ule msambwanda wake.Utakufa kwa presha mkuu punguza mahasira ya kipumbavu [emoji23].
RC angependa sana kuwa Mbunge. Sababu kubwa kwa maoni yangu ni mbili;Kwani Ubunge na Urc wapi panalipa?
Haya mambo ya generalization huwa mnayapenda sana watu wa ccm!!Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.
Ubarikiwe zaidi
Huu ujumbe ukisomwa na familia ya Ben Sanane, Azory na Tundu Lissu mwenyewe ni kebehi, dharau, kufuru ya Hali ya juu😔😔Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri,
Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako.
Kweli Mungu amekubariki sana katika uongozi wako.
Watu wanapokuona au kusikia habari zako wanapata tumaini na kuishi kwa Amani.
Ubarikiwe zaidi
Waziri Muu wa familia yako labdaRC angependa sana kuwa Mbunge. Sababu kubwa kwa maoni yangu ni mbili;
a) Ana uhakika wa kuwa kazini miaka mitano bila "kutumbuliwa"!
b) Ana uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu, Waziri au Naibu Waziri. Na akitumbuliwa anabaki na Sifa ya kwanza hapo juu!
Wengi mnao mchukia makonda ukiondoa maneno yakipuuzi puuzi kama hayo hakuna kingine chamaana mnachoweza kuongea mkaeleweka, niujingaujinga tu na chuki binafsi.
Bangi za mchana tena kwenye jua kali ni mbaya sana!Waziri Muu wa familia yako labda