Mheshimiwa Makonda wewe ni kiongozi shujaa watanzania wanakupenda sana

Hear say,nenda mahakamani uthibitishe hayo madai yenu ya kingese
 
Makonda nilikuwa simuelewi kabisa kipindi cha Magufuli lakini siku hizi naona amebadilika sana na ana prove kuwa ni kiongozi mzuri, mwenye huruma. Akiendelea hivi aatakuja kuwa Waziri Mkuu
 
Hear say,nenda mahakamani uthibitishe hayo madai yenu ya kingese

Wewe ni mtupu sana wa maarifa na uelewa. Huyo unayemwambia aende mahakamani akathibitishe, atathibitisha vipi bila ya Jamhuri kumfungulia kesi huyo muuaji? Uuaji ni kosa la jina, makosa yote ya jinai, mwenye mamlaka ya kufungua kesi, kwa mujibu wa katiba yetu hii ya hovyo, ni DPP tu. Au na hilo hulijui?

Siku ikija serikali inayowajibika, nduguyo atafikishwa mahakamani. Jinai huwa haifi hata ipite miaka mingapi.
 
Unajua hao USA wameumiza watu wangapi?
 
Unajua hao USA wameumiza watu wangapi?
Kwanza shujaa wenu mwizi tuu fisadi, clip zipo alitumia cheo kupitisha mizigo ya mamilioni bandarini bila kulipa kodi na GSM wamechukua nyumba yao aliyowadhulumu, mkuu wa mkoa kapata wapi mabilioni kuwa na transactions kama hizo, mwizi mkubwa yule
 
Wengi mnao mchukia makonda ukiondoa maneno yakipuuzi puuzi kama hayo hakuna kingine chamaana mnachoweza kuongea mkaeleweka, niujingaujinga tu na chuki binafsi.
Wewe unayemoenda unapata nini kama siyo ushuzi tu kutoka kwa nyamitako
 
USA in chafu kuliko hata zile brush za kuoshea choo tena cha shule za St. kayumba....
 
Sio wote tunampenda Makonda, Kuna wengine ni vilaza hawawezi kuelewa ni kama yale majamaa yanayoshangilia Train ya SGR sshv wakat kipindi inaanza kujengwa yalkuwa yanapinga mengne yakisema ni wastage of money.
 
US walimblok sababu ya kupambana na mashoga kama wewe
 
Wewe ni shoga bila shaka!πŸ˜…πŸ˜… ety USA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…