Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kuanza kuishi bila ndoa hiyo ni moja ya sababu watu kuachana. Nikki haendani kabisa na ile Tandam.... cha muhimu kashaitafuna kwa miaka kadhaa awaachie wengine sasa.. muda wake ushapita.

Demu mkali halafu kipanga wa hatari kwenye uhasibu... kwa vyovyote vile ilikuwa lazima Nikki aachwe.
Huuo upanga wake kwenye uhasibu nina mashaka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alivyokuwa akimpost sasa aiiiiiiiiiiiiii nacheka kama mazuri. Mimi nilijuwa hawafiki popote. Ati kisa mke ana shape basi anatupuruvia[emoji28] na alivyo mrefu sasa, Mungu mdomo koma.

Namsubiri zama kwa hamu siku wadada wakiingia mzigoni atatueleza vizuri kama kweli ile range alinunua mme. Huwezi mtundika mme kwenye mbao za matangazo posta ukabaki salama.

Masanja sasa hivi kapoa tunapumua.
Mkp nimekoment ujue umeongea ukwel mtupu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sina hulka ya kufurahia matatizo ya mwenzangu haijalishi tumekwazana vipi.

Jamaa kumpost na kumsifia mke wake watu walikuwa wanachukia sana, nickson Simon Nikki wa pili sio wa kwanza kuchapiwa alichapiwa mh wa msoga sembuse nikki!

Watanzania tukiacha hii hulka ya kufurahia matatizo ya wenzetu tutapiga hatua kimaendeleo
Hakuna maendeleo endelevu kwenye jamii iliyojaa Chuki ,usaliti na Watoto wasio na Wazazi wenye maadili.
 
Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.

Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi[emoji848]

Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .
Bwana Countrywide njoo chukuwa ushauri huuu muruaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake pasua kichwa... Unato mbewa hujui mpaka wakuonyeshe video ya mkeo akiwa anapigwa miti ndio unashtuka Ila wanaume wengi wanapigiwa wake zao sio Nikki tu hio ni sample specimen
Ni Kweli mm mwenyewe nimechakata mke wa mkuu fln ....hkn anaeamini nimetulia kimya tu na jamaa Ni kizito haswa mm haka dkt wa mitishamba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa alikuwa anakuja nae m.city karibia kila siku usiku.. picha lilianzia pale.. kaanza pigiwa kitambo sana sema ilikuwa kimya.. Mwanamke anatakiwa alindwe kwa gharama yoyote ile
Babu unaweza kumlinda mwanamke Kweli??

Nimetoka Hap nnje saa tatu nikakutana na mke wa mtu kidgo tu nimejaaribu kimejaah bwana kashasepa kazini na ndiga la serekalin asbh San ndio mke anaamka kwenda kuchukuwa vitavunio anakutana na dkt wa mitishamba na mm sinaga utani ikifika swal la uchakataji Ni faster tu [emoji41]

SAS HV anatuma msg anataka kurudi tuje tupige shoo vzr

Ach kbsa HV viumbe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako wewe una wivu wa kijinga. Manara na baba levo tu mafanikio yao yanakuuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu hmn bhna mm nachukia show off na kujiona mjanja Sana ndio shida inaanza pale

Mm mwanzo tu nilitilia mashaka Sana performance yake kwenye mitiani ile ya CPA

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu unaweza kumlinda mwanamke Kweli??

Nimetoka Hap nnje saa tatu nikakutana na mke wa mtu kidgo tu nimejaaribu kimejaah bwana kashasepa kazini na ndiga la serekalin asbh San ndio mke anaamka kwenda kuchukuwa vitavunio anakutana na dkt wa mitishamba na mm sinaga utani ikifika swal la uchakataji Ni faster tu [emoji41]

SAS HV anatuma msg anataka kurudi tuje tupige shoo vzr

Ach kbsa HV viumbe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwanamke analindwa kwa kupunguziwa access.. au kwa kuondoa vulnerabilities flani flani
 
Hii tabia ya watanzania kufurahia matatizo ya wenzenu sijui huwa itaisha lini, we unaongea kwa furaha kabisa . Vaa viatu vyake je ingekua ni wewe, au ndugu yako ungejiskiaje? Huu n zaidi ya uchawi , haya mambo hayanaga mwenyewe omba yasikukute . Tena nyie mnaoshangilia ndo mna roho ndogo mnaweza hata kuua au kujitoa uhai.

MWENZIO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI , TIME WILL TELL
 
Back
Top Bottom