Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Hawa wasukuma watatuua halafu ukiwaona ni mawife material juzi nimegongewa mzaz mwenzangu ilikua pisi kali huko kwao magu naunga mkono movement no kuoa kataa ndoa niutapeli
 
muhasibu akamuache mkuu wa wilaya? , kwa Tanzania na Africa Taaluma inayoheshimika kuwalipa pesa za Bure watu ni siasa , mkuu wa wilaya mpya anapokelewa na matajiri Kwa salamu za milioni kumi, ishirini , nk , kiufupi mwanamke yoyote Tanzania ataachwa na mwanasiasa sio kumuacha. Politics ni tamu .
 
Kwa politicians the future is brighter
 
DC ana mshahara mdogo halafu kazi yake ina hatari kubwa ya kumponyoka muda wowote. Pia kisiasa hasa Afrika mtu akitumbuliwa katika umri mdogo ni rahisi kupoteza mwelekeo. Huyo Joan sio mhasibu wa kawaida.. ni Tanzania one kwenye CPA. Kaulize mishahara ya wafanyakazi wa PWC, KPMG au Delloite kisha ufananishe na DC.
 
Jf usiwe na mtizamo wa tofauti .....ukiwaza tofauti na watu basi ushaitwa jina flani....
Tatizo ujinga mwingiiii halafu watu wanajiona wajanja kumbe malofa tu
You nailed it Miss Nakadori
It is true kabisa humu sasa hivi Ma Great Thinker ni wachache wengi wamekuwa ni wa hovyo sana halafu huwa Wana support jambo kwa kuangilia ni ID gani imeandika na ukija na Mawazo tofauti Wanakutolea maneno machafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…