Me wala hawanisumbui kabisaaaaaYou nailed it Miss Nakadori
It is true kabisa humu sasa hivi Ma Great Thinker ni wachache wengi wamekuwa ni wa hovyo sana halafu huwa Wana support jambo kwa kuangilia ni ID gani imeandika na ukija na Mawazo tofauti Wanakutolea maneno machafu.
Utadhani zinaongeza salio kwa bank account zao.....ndio binadamu lakini #ignoreHivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Hata wakipewa ajira ufanisi wa kazi utakuwa ni mdogo mno, yaani hili Taifa sasa hivi lina msiba sana huko mbele ya safari, maana watu hata uwezo wa kufikiri umekuwa duni sana sasa akipewa ajira ataweza kukabiliana na changamoto katika hiyo ajira yake. Wacha watoto wa matajiri na Wanasiasa wapewe tu hizo ajira.Me wala hawanisumbui kabisaaaaa
Ila samia atoe ajira asee
Acha kuwa kilaza na ww me sio huyo na wala siwajui
mkuu ongeza ufahamu wako kwenye mambo ya siasa hakuna mwanasiasa anaye tamba kwa mshahara Fanya KAZI miaka kumi international auditing companies hauwezi kukusanya pesa ya DC anayetumia nafasi yake vizuri. Ziara ya DC kukagua kiwanda kimoja kwa wilaya za miji mikubwa inatosha kulipa huyo CPA wako mwaka mzima , uliza wafanya biashara utajua kwanini wako karibu na wanasiasa . Kuwa na Rafiki DC au RC Tanzania ni mtaji tosha.DC ana mshahara mdogo halafu kazi yake ina hatari kubwa ya kumponyoka muda wowote. Pia kisiasa hasa Afrika mtu akitumbuliwa katika umri mdogo ni rahisi kupoteza mwelekeo. Huyo Joan sio mhasibu wa kawaida.. ni Tanzania one kwenye CPA. Kaulize mishahara ya wafanyakazi wa PWC, KPMG au Delloite kisha ufananishe na DC.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nitakukula tu,umemdhalilisha mkuu wa wilaya yetu ya kibaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata wakipewa ajira ufanisi wa kazi utakuwa ni mdogo mno, yaani hili Taifa sasa hivi lina msiba sana huko mbele ya safari, maana watu hata uwezo wa kufikiri umekuwa duni sana sasa akipewa ajira ataweza kukabiliana na changamoto katika hiyo ajira yake. Wacha watoto wa matajiri na Wanasiasa wapewe tu hizo ajira.
Tuna vijana wa hovyo sana sasa hivi halafu hao ndio Mababa na Mababu wa baadae. Mungu anisaidie nisiwe na akili kama za hawa vijana wa Sasa. 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na wewe unasapoti hyo kampeni???Nakubali chief mkuu, field marshal
Uishi miaka mia na kendaaaa (in kabudi voice)
Watu hawaelewi, ndoa ni utamaduni wa zamank ambao kwa sasa kiukweli ni irrelevant sababu ya mabadiliko ya kijamii na utamaduni. Enzi zile kidem cha fom 4 kikiambiwa nakupenda kinaenda kusema kwa mama ake, lkn siku hz mtoto wa std 7 ashaanza kutembeza papa kwa wahuni, unategemea awe mke wa mtu umkalishe ndani asikupe stress?
Mimi nitakukula tuNa wewe unasapoti hyo kampeni???
Dah basi
Na wewe mzaramo nae mke??Nlikua mkoa fln nikakutana na mtoto mmoja wa kizaramo aisee nadhan pale nlipigwa njugu sababu akili iliisha kabisa kwa ile michezo yake. Mwanzo nikataka kumuoa kabisa, na hio ni 2 months tu nmekutana nae.
Sasa huko kutoka akili nikafanya mistake kubwa ambayo naona na nikki ndo alifanya, nikaanza kumuonesha dem kwamba namkubali na bila yeye mimi siwezi kuwa na furaha. Aloooooh.. kilichofuata yule dem akabadilika, zile characters zote nlizompendea nikaanza kuona zinapotea moja baada ya nyingine. Dem akaanza kugawa nje naletewa hadi ushahidi, ikabidi nimteme japo iliniuma sana
Hapo nikashukuru Mungu sabb angeendelea kujificha ningeweka bomu ndani. Ndipo akili ikarudi nikakumbuka jamaa mmoja aliwahi sema "Ukitaka kuona true colors za mwanamme mpe cheo, lkn mwanamke mpe ndoa"
Toka hio siku nawashangaa sana wanaoamua kuoa, yaan kusain commitment ya matatizo hvhv siwezi aisee, kwa msala alonipa yule dem hadi leo sitosahau.
Now ni kupiga pisi kali zaidi hata ya huyo dem wa nikki ambae watu wanasema mkali ila mie naona tako tu hapo
So Nakadori ukiona mtu anakataa ndoa sio kukurupuka, YAMETUKUTA AISEE.
Na hizo mali na yeye si anashiriki kuzichuma?? Sa unapokuwa kazini nani anasimamia ishu zingine??Haaahaaaa
Mie aisee kwenye mali zangu hapo hapana. Yan nioe mke aje afanye ufuska yy, aombe talaka na mali zangu zigawanywe akale na mpuuzi mwenzie, hilo haliwezekani.
Kama ikiwa lazima sana labda asaini Prenup kwamba mali zangu ni zangu na watoto tu yy ahusiki kabisa, hapo tutaoana na nikijua anatoa mzigo nje, ni directly nje na yy na madela yake tu.
Yaan inshort akubali kuwa lifelong housegirl wangu huku ananizalia, na actually ndivyo wanawake walivoumbiwa kuwa
Sample hio, ukisema hivo basi wasukuma, wachaga nao sio wakeNa wewe mzaramo nae mke??
HahahahahaSample hio, ukisema hivo basi wasukuma, wachaga nao sio wake
Af wanawake siku hizi hamna kabila wala nn, wengi ni vile vile tu, hata kwa wanaume napo tuko hvo kwa sababu ya muingiliano wa makabila
Sasa in return si ndo namuhudumia yy na sometimes familia yake alipotoka. Huoni hayo ni malipo tosha?Na hizo mali na yeye si anashiriki kuzichuma?? Sa unapokuwa kazini nani anasimamia ishu zingine??
Hapana hata kwao alikuwa anapata huduma.Sasa in return si ndo namuhudumia yy na sometimes familia yake alipotoka. Huoni hayo ni malipo tosha?
Olewa kwanza wewe mbeijing na elimu yako uchwara 40yrs unalilia ndoaMe wala hawanisumbui kabisaaaaa
Ila samia atoe ajira asee
Ingekuwa wale walimu wa cwt wasingegomea uteuzi wa ukuu wa wilaya achana na mambo ya kuambiwa labda hao mawaziri kwenye wizara za fedha, maduni na utaliimuhasibu akamuache mkuu wa wilaya? , kwa Tanzania na Africa Taaluma inayoheshimika kuwalipa pesa za Bure watu ni siasa , mkuu wa wilaya mpya anapokelewa na matajiri Kwa salamu za milioni kumi, ishirini , nk , kiufupi mwanamke yoyote Tanzania ataachwa na mwanasiasa sio kumuacha. Politics ni tamu .