Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Nimeona sana unaongea huu ujinga
kwa kukusaidia kamwe huwez pangia watu wengine maisha ambayo unayataks wewe, tunavyoongea kuna watu wanatoa posa na wengine wanafunga ndoa

Kama wewe hupendi ndoa kwanin unalazimisha watu wengine wachukie ndoa una matatizo ya akili kamwone daktari pole kwa kuumizwa na mapenzi ila wako wanaofurahia ndoa sio wote ndoa zinawatesa
 
Haya yanawapa faida gani? Mbona mnakua na tabia za kishoga sana?
Nina connection ya mkeo nakutumia kabisa kwenye DM yako.. kwa show aliyokuwa anapiga yule jamaa ataukipewa uhai wa kuishi miaka 200 huwezi ifikia[emoji14][emoji14] watu walikuonya kuhusu kumpost na kumsifiasifia mkeo Instagram ukaoana kama wanakuonea wivu , wazee wa kazi wakamuibukia na kumpa show moja mujarabu ..mbuzi akaona bora akate kamba aufuate utamu[emoji56][emoji56]
 

Duuh! hili taifa vijana wamevurugwa. Sasa bila ndoa utajenga vipi familia iliyo Bora katika malezi?.

Tubadilike jamani, kama mwanamke wa Nick kachepuka Hilo ni swala lao binafsi usiingilie na kushadadia na kuhamasisha wengine wasioe .
 
Kila mtu ana maisha yake wewe usijitafutie SONONA kwa kunifuatilia mimi utakufa mapema mjomba, oa wakugongee Ila usikunje ndita na kushikwa na kijiba cha ROHO utapogundua mkeo anapakuliwa na wahuni, hio kesi yako hainihusu kwa sasa mimi sina kingine cha kuongezea yangu ni hayo tu hutaki KUNYA BOGA ukioa utachapiwa tu kwa hio jiandae kisaikolojia kabla haujafanya maamuzi ya kuoa au kutokuoa Ila kwa sasa upande niliouchagua Mimi ni huu hapa chini

KATAA NDOA

Wewe baki upande wako na kingine usinipangie cha kupost, usinipangie cha kuandika, usinipangie cha kukieleza humu, imekuuma na ikikuuma sana au ukiona inakuuma sana mimi kuzungumzia kuhusu KATAA NDOA basi njia ni fupi sana report kwa Mods nipigwe BAN maana hio ndio stage yenu ya mwisho mkishindwa hoja mnataka watu wapigwe ban
 
Wakorintho umekula tunda langu..mkuu tafuta hiyo nyimbo usikilize
 
Wewe ndo una SONOMA ungekua unajiamin na msimamo wako usingepoteza mda wako kupiga makelele ya kataa ndoa

Nilishakuambia wewe sio kwanza kukataa ndoa tokea enzi wako waliokataa ndoa na bado haijazuia watu kuoa unachofanya ni ushamba wa hali ya juu

Unafikiri usipooa unatukoma it is your choice na hutakua wa kwanza kukataa ndoa
 
Duuh! hili taifa vijana wamevurugwa. Sasa bila ndoa utajenga vipi familia iliyo Bora katika malezi?.

Tubadilike jamani, kama mwanamke wa Nick kachepuka Hilo ni swala lao binafsi usiingilie na kushadadia na kuhamasisha wengine wasioe .
KATAA NDOA

Hayo mengine unayajua wewe Ila ukioa jiandae kuchapiwa na utachapiwa tu, sina mengi ya kukwambia kwa leo itoshe kusema hivyo
 
SONOMA ndio mdudu? Ona unaandika huku ukiwa umepanic bro, oa uchapiwe si baasi kwani kuna nini kingine cha ziadi Ila usiseme hukuambiwa, ni hivyo tu sina kingine cha kukwambia nimeshakupa muelekeo ukiona inakuuma bonyeza kitufe cha Mods maana utakua umeshindwa hoja

Hoja mezani ni KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI

Tetea hoja kwa point za msingi kwanini watu wasikatae Ndoa sio unajibu kimhemko na kihisia, elimika na fundishika kijana usikaze fuvu
 
Wewe sio wakwanza kukataa ndoa acha ushamba
 
Wewe sio wakwanza kukataa ndoa acha ushamba
Ushamba? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mzee nimekwambia tetea hoja sio unajibu kimhemko na kihisia mimi nina vivid evidence plus examples mezani za kukataa Ndoa wewe una nini cha kusupport uwepo wa kuendelea kwa uwepo wa Ndoa?

KATAA NDOA
 
🀣🀣🀣
 
Sio wa kwanza kukataa unachofanya sio kipya hapa duniani
Sawa basi baki upande wako huo mimi niache nikae upande wangu huu wa KUKATAA NDOA MAANA NDOA NI UTAPELI, au una kingine cha kuongezea?

Hoja huna unaeleza bila hoja nani atakuelewa, mimi ninakupa na mifano ya kukataa ndoa wewe utanipa nini cha kuniambia ni-support uwepo wa ndoa kipi ulichonacho cha kunishawishi? Emu jaribu kunishawishi basi nakupa uwanja huu nishawishi kwa hoja zenye mashiko nikuelewe kwamba NISIKATAE NDOA

KATAA NDOA
 
Kabla hujaziliwa wako ambao walikuwa wanakataa ndoa, umezaliwa na wewe unakataa ndoa, utakufa watakuja wengine nao watakaa ndoa kama wewe kwa hiyo kampeni unayoifanya kiufupi haina maajabu kwa wewe sio wa kwanza kukataa ndoa

We ukikataa ndoa unafikiri unanipunguzia nini nakujibu tu kwa sababu hii ni forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…