Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kabla hujaziliwa wako ambao walikuwa wanakataa ndoa, umezaliwa na wewe unakataa ndoa, utakufa watakuja wengine nao watakaa ndoa kama wewe kwa hiyo kampeni unayoifanya kiufupi haina maajabu kwa wewe sio wa kwanza kukataa ndoa
Basi itoshe kusema niache mimi na mtazamo wangu wa KUKATAA NDOA na wewe baki na huo mtazamo wako wa kua na Ndoa kisha ugongewe na uchapiwe km wengine, hapo vipi?

Tumekubariana hivyo sawa mzee, baki huko mimi nibaki huku kuna kesi kwani?

KATAA NDOA
 
Basi itoshe kusema niache mimi na mtazamo wangu wa KUKATAA NDOA na wewe baki na huo mtazamo wako wa kua na Ndoa kisha ugongewe na uchapiwe km wengine, hapo vipi?

Tumekubariana hivyo sawa mzee, baki huko mimi nibaki huku kuna kesi kwani?

KATAA NDOA
Sio wa-kwanza kukataa ndoa
 
Sio wa-kwanza kukataa ndoa
Sawa ninaweza kua wa MWISHO wewe kinakuuma nini kwani? Hoja huna zaidi ya maelekezo yasiyo na rejea ZOZOTE utaniambia nini nikuelewe wewe? Utaniambia nini?

MIMI REJEA NINAZO WEWE UNA NINI CHA KUUNGA MKONO HOJA YAKO?

KATAA NDOA
 
Ukimpost mwanamke wako mitandaoni unakuwa na dhamira gani, unataka watu wamuone ili waje kumchukua, wakusifie au waone unamahusiano ya namna gani?!

Kama ni kumpenda unaweza mpenda mkiwa nyumbani na kwenye simu mkiwasiliana hiyo inatosha sana kuyafanya mahusiano yenu kuwa imara. Ila habari za kuhangaika kupost wanawake mitandaoni utadhani ni biashara matokeo yake unaanza kuvutia watu wenye nia mbaya waingie katika mahusiano yako na kuanza kuvuruga halafu unakuja anza lia lia .
Ulimbukeni wa social networks pia na sie binadamu Wana roho ya envy
 
Mimi namuona wa kawaida sababu nishachapa mkali zaidi yake.. kwa wasiowahi ndio wanaona hivyo

KATAA NDOA
View attachment 2523090

Shem ni mzuri tu kawaida hana utofauti na madem walio wengi. Kinachombeba yeye ni kwamba tu kichwani yuko fresh.

Ila ni wa kawaida sana hata dada yangu kamzidi. Sema up ward hayuko kama shemeji yetu.
 
Kinachouma kwenye kuchapiwa, ni vile manzi anavyokuwa anatoa ushiriakiano. Ndio maana kwenye kufumania, mwenye mke nguvu zinamuishiaga.

Sasa mfano hii video, kama mh DC kaiona, unadhani maumivu yake yapoje? Maana sidhani kama mkewe huwa anajiachiaga vile, au kufurahia kwa kiwango kile. Apige chini tu
buccaneer Soma hapo uelewe vizuri,

KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWA
 
Ukimpost mwanamke wako mitandaoni unakuwa na dhamira gani, unataka watu wamuone ili waje kumchukua, wakusifie au waone unamahusiano ya namna gani?!

Kama ni kumpenda unaweza mpenda mkiwa nyumbani na kwenye simu mkiwasiliana hiyo inatosha sana kuyafanya mahusiano yenu kuwa imara. Ila habari za kuhangaika kupost wanawake mitandaoni utadhani ni biashara matokeo yake unaanza kuvutia watu wenye nia mbaya waingie katika mahusiano yako na kuanza kuvuruga halafu unakuja anza lia lia .
Yap!..kuna la kujifunza hapa.
 
Yaah mkuu maana kama story za kuchapiwaa na ushahidi ashazoeaaa kama masanja tuu[emoji23][emoji23][emoji23] Ila sasa hili la Zuri kuwa sio damu yake kashindwa kabisaa kulibebaa.
Kuvumilia kashidwa , kugongewa unaweza kausha kama hakuna ushahidi ya picha au video. Kama masanja.
Ila kujua mtoto sio wake. Daaa ngumu, sana.

Afu nimesikia kuwa nikki kipindi demu anaosoma alikuwa anaghalamia kila kitu, coz alijua ni mama wa mtoto wangu.

Na nikki alikuwa anabaki na mtoto home, akilea kwa kila kitu.

Huku mama akiwa chuo.

Inauma sana.

Jamaa kashidwa kuvumilia.
 
Back
Top Bottom