Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Tuoe wanawake ambao nao wanauwezo fulani, tusichukuwe wale tegemezi kabisa ni matapeli na wabinafsi
Huwezi kushindana na mtu aliyeongea na nyoka mkuuuu live bila chenga

Huwezi kushindana na mtu aliyecost human race saivi wanaume tunakula kwa jasho wao wanazaa kwa uchungu kisa mtu mmoja tu hawa

Huwezi kushindana na mtu aliyemwangusha mfalme suleiman na akili zake na power zote alizokuwa nazo

Huwezi shindana na mtu ambaye hata mwenyezi MUNGU mwenye kasema ishini nao kwa akili

#kaa chonjo#
#kata ndoa#
#kata mahusiano#

Tafuta pesa usaidie yatima na wasiojiweza
 
Nionyeshe huyo kisu unayemwaminia basi Mzee , hatukatai watu wanapishana uzuri Ila huyo demu utake usitake ni mzuri haswa , ni wanaume wawili Kati ya Mia ndo watakukatalia huyo binti sio mzur na hakuna mwanamke mzuri ambaye hatombeki , tena ndo wanapigwa hasa Kwa sababu kila hatua wanatongozwa na ni ngumu kuwakatalia wote sababu na wao Wana Hsia za kupenda
Hakuna hujakutana na visu, mboni wa kawaida tu...

Hivi ukionyeshwa kisu utaweza hata kupumua wewe kweli hata kukojoa tu utashindwa, msimpambe sana angekua kisu asingetembeza papa ovyo kila mtu anajichapia
 
Nionyeshe huyo kisu unayemwaminia basi Mzee , hatukatai watu wanapishana uzuri Ila huyo demu utake usitake ni mzuri haswa , ni wanaume wawili Kati ya Mia ndo watakukatalia huyo binti sio mzur na hakuna mwanamke mzuri ambaye hatombeki , tena ndo wanapigwa hasa Kwa sababu kila hatua wanatongozwa na ni ngumu kuwakatalia wote sababu na wao Wana Hsia za kupenda
Sio lazima niweke hapa ushaambiwa elewa acha ubishi,
 
Back
Top Bottom