Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Unaweka ndani unagharamia wahuni wanapita wanapiga

Ukiingia kwenye ndoa uwe na moyo wa kuvumilia kuchapiwa mke unayemtunza.

Na wao walishasema pesa yao ni yao na ya mume ya wote halafu huyohuyo unayemhangaikia anatembeza papa nje

Wanangu tukatae ndoa kwa nguvu zote

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
 
Ah ok
Hawa wanawake ndiyo wanafanya tuwe tunakua wagumu kuoa bali kuchakata tu mbususu. Linaweza limwanamke linakuektia wema ngoja ulioe bwana utaona rangi zote za upinde..

Kuna mmoja nilikua namgharamia kupita maelezo bado mchezo akawa anataka kunipa kwa ratiba. Na bado vivu kitandani.

Nikaona isiwe kesi nikapiga chini. Mpaka kesho anasumbua, ila mhuni nishamfuta mpaka kwenye recycle bin ya kichwa
[emoji3][emoji3][emoji1][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mnajifurahisha tu humu.

Nani akatae ndoa ww

Hiki ni kikundi Cha watoto tu wa form 4 wameamua kuja kuji promo na kislogan Chao.

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app

Nadhani wewe labda ni mgeni..
Ila kifupi...
Mimi ndio raisi wa KATAA NDOA GANG
Nina Masters
Nina Miaka 31

Punguza dharau
Ishi maisha yako.

Punguza kukejeli watu.

HATUOI na HATUKO TAYARI KUOA.

#YNWA
 
Naomba account ya bank ya chama chetu cha kataa Ndoa nirushe kidogo mchango tutunishe account ya chama.

Niseme approach zinazotumika kuprove ndoa ni ubatili zinasoma kiwango cha 100G+.

Kama hakuna account bado anzisheni wadau tuchague na viongozi kabisa.

Kazi kuu ni kutoa elimu wanaume wajipende wao, wale mbususu na kupita kushoto

Lakin kwa wale wenye shobo kupingana slogan ya chama [emoji2][emoji2] hela ya account itatumika naaaaa
Wale play boy (super women approachers watatumika kukamilisha misheni.)

Tutakuwa na grp la telegram soon [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom