Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndiyo mnajidanganya na kwadanganya wengine. Ni yeye pekee hana ajira? Na hao malaki kwa malaki walioishia darasa la saba mbona hatuoni wakijiua kwa sababu hawana ajira? Mkiamuwa kupeleka lawama kwa rais kwa kila linalotokea mtashia kukosa hata viraka vya kushonea nguo zenu!Waweza kumuita hivyo ukipenda, lakini ugumu huu wa maisha alioupata kama yatima (kulingana na maelezo) angeweza kutafuta riziki kwa kuwa jambazi na siku moja akasimamisha gari la mumeo au baba yako na katika purukushani za kumpora akauwawa. Sidhani kama ungemuita mpuuzi kwa dharau hivyo badala ya majina mengine. Tumesema Ukosefu wa ajira ni bomu linalo subiri kulipuka tuu
Ivo vilevi alipewa bure?Maskini. Apumzike kwa amani. Hakuna kitu kinatia mawazo kwa mtoto wa kiume kama akose chanzo cha pesa.
Teh teh teh teh!Hivi mkuu unaishi Tanzania gani hio ambayo eti unaenda wizarani tu unawaambia nipeni kazi mshahara laki tatu??
Kuingia tu geti la wizara hayo maswali utakayopigwa hapo mlangoni na walinzi hautarudi Tena aisee.
Nadhani haujawahi kwenda wizara yoyote hapa nchini.
This wat we call due point. Ila computer science PC uliyotoka nayo chuo ni mtaji tosha kitaa, unadesign business cards unatawanya stationeries zote mjin kwamba we ni kishoka. Utapigiwa Simu tu japo sio kila siku and utasurvive .yote tisa mambo ya jiwe haya "the future is not clear"
My dear sister they dont have time to came hee and read, and learn a thing or 2,but remeber this ccm regime said it dont need anyones advice, and you know very well only FOOLS think they dont need advice,but trust me many in tz go to uni expecting to be hired, and as you know companies are even running away from tz coz of harsh investment climate, so when she, he lacks employement, the results is as you see here,tz needs to re think its education strategy, otherwise we will continue producing people with degrees on papers only and in their heads, happy weekend plsMie nashangaaga hata kama hawana watu waku wa advice vizuri huko serikalini,kwa nini wasitumie JF ushauri unaotolewa humu?...Napata picha kila mtu anawaza tumbo lake huko…...haya unayoyaandika trust me wanayajua sana...kuyatekeleza ndio ishu,..sijui nani afanye nini..
Mtaji ndo haupo sasa! Inabidi mtu aanze from the scratch. Sema kitu ambacho kinahitaji ujitoe ufaham kidogo kwakuwa changamoto ni nyingi sana. Mpaka mtu anajiua ujue ashafanya a lot of trials akaona enough is enough we never know mkuu nin hasa kilimsibusio rahisi km unavyofikiria ww eti kusambaza kadi stationery...walosoma computer sc..wanatakiwa mtaji mzuri tu...
Mtaji ndo haupo sasa! Inabidi mtu aanze from the scratch. Sema kitu ambacho kinahitaji ujitoe ufaham kidogo kwakuwa changamoto ni nyingi sana. Mpaka mtu anajiua ujue ashafanya a lot of trials akaona enough is enough we never know mkuu nin hasa kilimsibu
Huwa unajisifu kwa akili ambazo huna lakini kuwa na staha ya kawaida tu.. Likes zinaishia jf ila ulichokifanya wala hakitobagua kuwa ID ni fake au real.. Mungu akusamehe lakini
hahahahah!!duuuhMkuu achana na huyo , kazi yake kubwa ni Kuchezea Libolo Fc pale Uwanja wa Taifa vs Simba...