joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kuna ndoige nyingine hapa TPA inaenda kupigwa nayo, hapo Shehe atakuwa yuleyule kwenye kanzu mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DP World wako vizuri wale jamaa wanaweza hata kupanua hiyo Port wana uzoefu wa hali ya juu.
Maza alienda Dubai sijui waliongea nini?
Ahsante mkuu 'imhotep', kwa hizo taarifa ulizoniwekea kama ushahidi wa umahiri wa kampuni hiyo, ambao hata TICTS ukitafuta habari zao na wao watakuwa na wasifu wa namna hiyo.![]()
Home | DP World
DP World is a world leader in logistics management services. We ensure future viability of global international trade & prosperity of communities around the worldwww.dpworld.com
Sema hujaelewa alichoandika umebaki tu kushangaa Duh!
Na ndiyo sababu kuna umuhimu wa kuwaiga wachina katika kupambana na hawa wapumbavu wachache wanaotuuza utumwani tena.Kila biashara kubwa au project kubwa kubwa Tanzania na Africa lazima kuna mikono ya weusi hata ikiwezekana hiyo project ifail ili wao wapate hela.
Biashara ya Bandari pekee kama inaweza kusimamiwa vizuri inaweza kabisa kuleta big impact kwenye uchumi wa Tanzania na watanzania.
Hawa wanahudumia Bandari nyingi Duniani kote sio njaa njaa kama TCTSAhsante mkuu 'imhotep', kwa hizo taarifa ulizoniwekea kama ushahidi wa umahiri wa kampuni hiyo, ambao hata TICTS ukitafuta habari zao na wao watakuwa na wasifu wa namna hiyo.
Hivi unajua TCTS ni kitawi cha kampuni gani duniani?
Lakini kuna jambo mhuhimu ninaloomba waTanzania tukumbushane kwa kwa kuutumia huu mfano wa mkataba na TICTS.
Kampuni hiyo imekuwepo hapa kwa miaka 20 na kwa muda wote huo sisi waTanzania hatukuweza kujifunza lolote kutoka kwao, kwamba tutajijiengea uwezo wa kuiendesha hiyo sehemu ya bandari baada ya hawa wageni kuondoka.
Hapana, sijasema serikali iingie kwenye huo uendeshaji, (najua kuna watu husema serikali haiwezi chochote), lakini je, hata kuwaandaa na kuwapa uwezo waTanzania nje ya serikali haiwezekani?
Kuna utaalam gani wa zaidi sana ambao watu wetu hawawezi kamwe kuumudu kuendesha shughuli kama hiyo?
Ninaelewa ni kiasi gani tunavyojidharau, kwamba hatuwezi chochote, jambo ambalo sikubaliani nalo kabisa. Kinachotushinda ni viongozi wetu kutosimamia vizuri shughuli zetu na kuwatia moyo wananchi wake ili waweze kuleta mageuzi makubwa katika nchi yao.
Hatuna viongozi wanaoamini kwamba tunaweza, matatizo yetu yanaanzia hapo.
Ninakuomba uelewe kwamba TICTS ni kitawi tu kilichopo hapa Tanzania ambacho ni sehemu ya kampuni kubwa duniani.Hawa wanahudumia Bandari nyingi Duniani kote sio njaa njaa kama TCTS
Tufanye mabadiliko labda DpWord watakuja na ufanisi zaidi.Ninakuomba uelewe kwamba TICTS ni kitawi tu kilichopo hapa Tanzania ambacho ni sehemu ya kampuni kubwa duniani.
Hata hao Dubai wakija hapa, wanaweza kuunda tu kitawi chao hapa kwetu kuendesha shughuli zao.
Jinsi walivyovungavunga mambo tokea mkataba uishe na kuendeleza majadiliano, inanibidi nikubaliane na wewe, kwamba kuna jambo linasukwa, na litakapokuwa tayari tutaelezwa.Kwa jinsi CCM ya zamani inavyorudi na Karamagi mwenyewe kaukwaa uenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera, yawezekana imeondoka TICTS lakini amebaki Karamagi.
Utaalamu wetu tutakaouweza zaidi tukipewa hiyo bandari ni nyodo na kuibia watu vitu vyao kwa sana.Lakini kuna jambo mhuhimu ninaloomba waTanzania tukumbushane kwa kwa kuutumia huu mfano wa mkataba na TICTS.
Kampuni hiyo imekuwepo hapa kwa miaka 20 na kwa muda wote huo sisi waTanzania hatukuweza kujifunza lolote kutoka kwao, kwamba tutajijiengea uwezo wa kuiendesha hiyo sehemu ya bandari baada ya hawa wageni kuondoka.
Hapana, sijasema serikali iingie kwenye huo uendeshaji, (najua kuna watu husema serikali haiwezi chochote), lakini je, hata kuwaandaa na kuwapa uwezo waTanzania nje ya serikali haiwezekani?
Kuna utaalam gani wa zaidi sana ambao watu wetu hawawezi kamwe kuumudu kuendesha shughuli kama hiyo?
Ninaelewa ni kiasi gani tunavyojidharau, kwamba hatuwezi chochote, jambo ambalo sikubaliani nalo kabisa. Kinachotushinda ni viongozi wetu kutosimamia vizuri shughuli zetu na kuwatia moyo wananchi wake ili waweze kuleta mageuzi makubwa katika nchi yao.
Hatuna viongozi wanaoamini kwamba tunaweza, matatizo yetu yanaanzia hapo.
Hata mimi nakubaliana na wewe TPA waendeshe wenyewe,maana kuruhusu watu binafsi hawafai kabisa japo mzee wa Lupaso alitamani kila kitu ni kubinafsisha kulikuwa na NASCO,TACOSHILI na mengine mengiTPA waendeshe wenyewe
Tufanye mabadiliko labda DpWord watakuja na ufanisi zaidi.
Hawa wanahudumia Bandari nyingi Duniani kote sio njaa njaa kama TCTS
Usinung'unike sana kuwa na subra.Kuondoa ubabaishaji mmoja na kuweka ubabaishaji mwingine ndiyo zetu wabongo. Hata aje nani kama sisi wenyewe hatubadilika kutoka kwenye ubabaishaji basi hakuna chochote cha maana. Hakuna hata kitu kimoja tunafanya kwa ufanisi!
Lakini kweli ni lazima iwe hivi, mkuu wangu 'Algore'?Utaalamu wetu tutakaouweza zaidi tukipewa hiyo bandari ni nyodo na kuibia watu vitu vyao kwa sana.