Miaka 22 ya TICTS nchini yafika mwisho, mamlaka ya bandari kutosaini mkataba mpya

Miaka 22 ya TICTS nchini yafika mwisho, mamlaka ya bandari kutosaini mkataba mpya

Kama wamemleta muhindi basi tena tukubali tumeshapigwa. Muhindi hajawahi kufanya uwekezaji kwa faida ya nchi hii hata siku 1 nina uhakika 100% kuanzia hapo TPA mpaka magogoni rushwa imetembea. Hivi kweli mkurugenzi TPA upo serious na hii kazi kweli? Unamleta muhindi? Hii nchi ina laana haki ya mungu
Hapo Kuna cheni ya miongozo mkuu, Saazingine unaweza kumlaumu mkurugenzi bure kumbe miongozo mefanya kazi.

Hii nchi kunawatu wanaamua kwa maslahi yao tu na hawajali chochote.
 
-Serikali/TPA ilipaswa kuandaa vijana wetu wa kitanzania ambao wamehitimu kwenye vyuo vya mbalimbali na hawana ajira miaka 10 iliyopita,
-Vijana wangepewa mafunzo ya manejimenti na uongozi au utawala wa masuala ya bandari.
-Vijana hawa wangekuwa attached kwenye bandari mbalimbali kubwa huko duniani kupata uzoefu kuhusu masuala ya management na uhandisi wa mitambo ya bandari.
-Ninashauri, Serikali au TPA,ingechukua mkopo kutoka taasisi za fedha za nje au ndani kwa ajili ya uwekezaji/kununua vitendea kazi vya kisasa na kutoa mafunzo kwa watumishi,jinsi ya kuvitumia vifaa hivyo.
-Faida ya Uwekezaji huo,ni kuondoa au kupunguza changamoto ya ajira kwa wahitimu wetu, Serikali au TPA kuongeza ukusanyaji wa mapato ya kulipa mkopo, watumishi,na Pato kubwa kwa Serikali.
-Hiyo Kampuni ya India,italeta wahindi kwenye Management,wa kusimamia interest zao/ watanzania wenzetu kitwana,
- Ni nadra kampuni ya India kuwekeza kwenye miundo mbinu,kama watawekeza wataleta mitambo iliyotumika kwenye bandari zao za nje.
-Tanzania itakuwa dumping place,tuliona mkataba na kampuni ya India ya RITES na TRC walileta mabehewa yaliyotumika na mtaji waliupata hapahapa Tanzania,it was a shame and this is going to recur,if the Government is not going to be Keen.
-Kama Serikali/TPA itasisitiza kuendelea na mpango wa kukodisha and kwenye kampuni ya India,tahadhari zichukuliwe kwenye vipengere vya mkataba, suala la uwekezaji miundo mbinu iliyotumika lipigwe marufuku na masuala yote yatakayo ahidiwa kwenye mkataba yatekelezwe kwa muda mwafaka.
-Mwekezaji atatumia mkataba huo kama collateral kukopa fedha kwenye mabenki yetu au mabenki ya India.
-Mkataba wa ukodishaji wa Berths hizo 4-11 upitiwe na bunge letu kwa niaba ya wananchi,tumechoka kupigwa na watanzania wenzetu ambao hawana uzalendo na huruma kwa watanzania wenzao.
-Serikali inakwama wapi, hatuna watalaam au tamaa za watu binafsi.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kilakitu kipo, jibu ni tamaa za watu binafsi wenye madaraka.
 
Usalama usiokidhi wa wafanyakazi kazini.
Mishahara midogo kwa wafanyakazi.
Mafunzo kwa wafanyakazi kutokuwepo.
Kujazana wahindi hapo bandarini.
Mizigo ya wahindi kupewa kipaumbele.
Unyanyasaji na mambo mengi ya hovyo.

Hizi kazi bado zinawahitaji sana Wazungu kutoka Ulaya, tungempa Messina, Maersky, Blue water, hata mfaransa Bollore.
Hapo wameangalia mkataba cheap upande wao tu hawakuzingatia madhara yatakayojitokeza mbeleni.
 
Hapo Kuna cheni ya miongozo mkuu, Saazingine unaweza kumlaumu mkurugenzi bure kumbe miongozo mefanya kazi.

Hii nchi kunawatu wanaamua kwa maslahi yao tu na hawajali chochote.
Uko sahihi mkuu,kuna watu hawajui mipaka ya kazi na vyeo vyao wanaingilia kila mahali.
Huwa ni wajuaji wa kila sekta na hawataki kuwapa nafasi wenye utaalamu wao kufanya maamuzi
 
Last August, the government said a number of investors had shown interest in offering the services at the port of Dar es Salaam but did not disclose the names of the investors.
🤔🤔🤔 nchi ngumu sana hii. Watu washakula 10% zao za udalali kwa Mhindi

Ilikuwa ni haki yetu kujua hao investors wengine walikuwa ni akina nani na ilipaswa washindanishwe. Na kwa nini majina ya wawekezaji wengine yafichwe?
 
38bea839-7f82-4687-89e4-b874c14a9973.jpg
 
Jamani jamani jamaniiiiii!!! Mambo yale yale ya TRC na RITES ya India! Yaani kweli hawa wahindi!!

We acha tu uwiiiii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mama Tanzania [emoji1241] mbona uko kimya sana jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama wamemleta muhindi basi tena tukubali tumeshapigwa. Muhindi hajawahi kufanya uwekezaji kwa faida ya nchi hii hata siku 1 nina uhakika 100% kuanzia hapo TPA mpaka magogoni rushwa imetembea. Hivi kweli mkurugenzi TPA upo serious na hii kazi kweli? Unamleta muhindi? Hii nchi ina laana haki ya mungu
Mkome!

Mnatoa rais mnaweka midoli mnategemea nini?
 
Achana na hayo yote, hapa nawaza, napataje kazi pale bandarini.
 
Mamlaka ya bandari nchini Tanzania (TPA) imesema baada ya kampuni ya wazawa TICTS kuondolewa kuhudumu kwenye bandari ya Dar es Salaam tayari wameshapata mbadala wake ambao ni kampuni ya kigeni kutoka India itakayoanza rasmi kuhudumu bandarini hapo.

=========

Dar/Arusha. The Tanzania Ports Authority (TPA) has outsourced operations to a private company that will operate berths that were previously served by Tanzania International Container Terminal Services (Ticts).

The Indian conglomerate Adani Ports and Special Economic Zone Limited (APSEZ) will now run berths eight through 11 of the Dar es Salaam Port on behalf of TPA, which took over the services yesterday after the contract ended.

Ticts had been handling containers at the four berths but TPA terminated the contract after the two sides failed to agree on renewal terms.

Ticts had a five-year lease agreement that expired on September 30, 2022, but it was extended for another three months to give the two parties more time to discuss the possibility of renewing the contract.

The port authority took over management of the berths On Sunday, January 1, but it has contracted the Indian company to do the job on its behalf.

TPA director general, Mr Plasduce Mbossa, said the authority had already started handling the containers after retaining Ticts workers.

“As we look for another investor, we have contracted Adani Ports and Special Economic Zone Limited to provide services. This is just a service provider whom we pay at the end of the month,” said Mr Mbossa.

He emphasized that all arrangements will remain the same, adding that TPA will be collecting all the port charges.
“No changes at all. What we did was just engage a service provider more efficiently and at reasonable standards,” he said.

Mr Mbossa said the company will operate during the unspecified provisional period as TPA is moving ahead with the process to get a new investor in the berths.

“We want to get the right investor who has enough experience in port issues and who will convince us,” he said.

Adani Ports and SEZ Ltd is India’s largest integrated ports and logistics company, according to its website, representing a network of ports with India’s largest SEZ at Mundra.

Last August, the government said a number of investors had shown interest in offering the services at the port of Dar es Salaam but did not disclose the names of the investors.

However, The Citizen is aware that Adani Ports and SEZ Ltd signed a memorandum of understanding (MoU) with Abu Dhabi Ports Group to jointly pursue strategic investment opportunities in Tanzania.

The partners said they aimed to offer end-to-end logistics infrastructure and solutions covering rail, ports, maritime services, digital services and industrial zones.

“A series of potential country-level investments to grow, improve, and promote an end-to-end maritime and logistics ecosystem will make Tanzania a hub for the African region,” they then said in a statement.

TPA yesterday announced its bank accounts through which customers previously served by Ticts will have to pay the port charges.

As TPA gets the new firm, a dry port was planned in Arusha Region’s Arumeru District, in an attempt to simplify cargo transportation to the northern regions.

TPA manager Masoud Mrisha said the dry port will increase transportation of cargo through the port of Tanga.

“This dry port will simplify movement of cargo to the northern regions and the neighbouring countries,” he said.

Cargo handled by Tanzanian ports increased by 14.9 percent to 19.8 million tonnes in the last financial year as businesses are recovering from the Covid-19 pandemic in the wake of improved port infrastructure.

According to the Bank of Tanzania (BoT), Dar es Salaam port accounted for 90.4 percent of the cargo handling.

The port handled 17.85 million tonnes, a 10.3 percent increase from the 16.19 million tonnes that the port handled in the 2020/2021 fiscal year.

The Citizen
Wahindi ni weledi sana kwenye fani hiyo, angalie wanavyoendesha ICD kama ya TRH wako vizuri sana
 
Mamlaka ya bandari nchini Tanzania (TPA) imesema baada ya kampuni ya wazawa TICTS kuondolewa kuhudumu kwenye bandari ya Dar es Salaam tayari wameshapata mbadala wake ambao ni kampuni ya kigeni kutoka India itakayoanza rasmi kuhudumu bandarini hapo.

=========

Dar/Arusha. The Tanzania Ports Authority (TPA) has outsourced operations to a private company that will operate berths that were previously served by Tanzania International Container Terminal Services (Ticts).

The Indian conglomerate Adani Ports and Special Economic Zone Limited (APSEZ) will now run berths eight through 11 of the Dar es Salaam Port on behalf of TPA, which took over the services yesterday after the contract ended.

Ticts had been handling containers at the four berths but TPA terminated the contract after the two sides failed to agree on renewal terms.

Ticts had a five-year lease agreement that expired on September 30, 2022, but it was extended for another three months to give the two parties more time to discuss the possibility of renewing the contract.

The port authority took over management of the berths On Sunday, January 1, but it has contracted the Indian company to do the job on its behalf.

TPA director general, Mr Plasduce Mbossa, said the authority had already started handling the containers after retaining Ticts workers.

“As we look for another investor, we have contracted Adani Ports and Special Economic Zone Limited to provide services. This is just a service provider whom we pay at the end of the month,” said Mr Mbossa.

He emphasized that all arrangements will remain the same, adding that TPA will be collecting all the port charges.
“No changes at all. What we did was just engage a service provider more efficiently and at reasonable standards,” he said.

Mr Mbossa said the company will operate during the unspecified provisional period as TPA is moving ahead with the process to get a new investor in the berths.

“We want to get the right investor who has enough experience in port issues and who will convince us,” he said.

Adani Ports and SEZ Ltd is India’s largest integrated ports and logistics company, according to its website, representing a network of ports with India’s largest SEZ at Mundra.

Last August, the government said a number of investors had shown interest in offering the services at the port of Dar es Salaam but did not disclose the names of the investors.

However, The Citizen is aware that Adani Ports and SEZ Ltd signed a memorandum of understanding (MoU) with Abu Dhabi Ports Group to jointly pursue strategic investment opportunities in Tanzania.

The partners said they aimed to offer end-to-end logistics infrastructure and solutions covering rail, ports, maritime services, digital services and industrial zones.

“A series of potential country-level investments to grow, improve, and promote an end-to-end maritime and logistics ecosystem will make Tanzania a hub for the African region,” they then said in a statement.

TPA yesterday announced its bank accounts through which customers previously served by Ticts will have to pay the port charges.

As TPA gets the new firm, a dry port was planned in Arusha Region’s Arumeru District, in an attempt to simplify cargo transportation to the northern regions.

TPA manager Masoud Mrisha said the dry port will increase transportation of cargo through the port of Tanga.

“This dry port will simplify movement of cargo to the northern regions and the neighbouring countries,” he said.

Cargo handled by Tanzanian ports increased by 14.9 percent to 19.8 million tonnes in the last financial year as businesses are recovering from the Covid-19 pandemic in the wake of improved port infrastructure.

According to the Bank of Tanzania (BoT), Dar es Salaam port accounted for 90.4 percent of the cargo handling.

The port handled 17.85 million tonnes, a 10.3 percent increase from the 16.19 million tonnes that the port handled in the 2020/2021 fiscal year.

The Citizen
Away waindi siwaamini kabisa watu wanoongoza kuizamisha Africa ni ao na wachina yaani wanaweza Kaa kama madalali uku nyuma yake Kuna mtanzania
 
Bider gani Anastahili? anauwezo gani?, ataisaidiaje Bandari kupata mizigo mingi zaidi ili kutunisha wingi wa fedha, tutafute service company yenye influence kubwa dunia itakayo ongeza biashara atleast mara tano zaidi na sio blah blah.
 
Kama wamemleta muhindi basi tena tukubali tumeshapigwa. Muhindi hajawahi kufanya uwekezaji kwa faida ya nchi hii hata siku 1 nina uhakika 100% kuanzia hapo TPA mpaka magogoni rushwa imetembea. Hivi kweli mkurugenzi TPA upo serious na hii kazi kweli? Unamleta muhindi? Hii nchi ina laana haki ya mungu
Fafanua
 
Back
Top Bottom