Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nifanyeje? Kusema hivyo tu hujanisaidia ndugu.Atagawa kwa wengine shauri yako
Audit habits zako za kila siku utabaini jambo linalokusibu.Sukari, BP vyote vipo poa, nimefanya check up kadhaa KABLA ya kuandika hapa.
Sisi tumetumwa hela haya mengine inawezekana sio IDARA yetu😁😁👐Wanaume wa kaskazini mnawahi kukata ringi katika majambozi mnajua kutafuta ila sekta hiyo mna zero
Jiandae kusaidiwa kaza roho tu kesi za kuuana zimetuchoshaSisi tumetumwa hela haya mengine inawezekana sio IDARA yetu😁😁👐
Inaweza kuwa ni habits za huko nyuma ndio matokeo yanaonekan sasa hivi, how do I know?Audit habits zako za kila siku utabaini jambo linalokusibu.
Unless Kama uko okey na hiyo hali
😁😁😁Jiandae kusaidiwa kaza roho tu kesi za kuuana zimetuchosha
Jaribu kuangalia zote utapata picha kamili.Inaweza kuwa ni habits za huko nyuma ndio matokeo yanaonekan sasa hivi, how do I know?
Tafuta tiba 40 bado mdogo sana wangu anaitafuta 50 natamanigi kumkwepa maana chaaaaa.....
👍👍👍Jaribu kuangalia zote utapata picha kamili.
Mara moja moja sana, tena kwa kuvuta hisia kwa mbali aisee😁😁😁Jogoo linawika kwa ukakamavu?
Mimi ni wakaskazini na ringi laiti kama lingekata tu ata nilivyofika miaka 18 ili na mimi nizipate hizo pesa😭😭Wanaume wa kaskazini mnawahi kukata ringi katika majambozi mnajua kutafuta ila sekta hiyo mna zero
Ushaona mtu anaweza kula kuku kila siku iendayo kwa Mungu bila kubadilisha mboga?Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Hapana Mkuu, kumshauri shemeji kwa ajili yako ni vibaya Tena Mkuu... Nipe namba PM Mkuu ntamshauri utashangaa Kila Leo mwenyewe utaamka!!!Acha hizo, umeona ni fursa sio?
Inawezekana, yani hata tukiwa ndani nimkute na mkao gani hata mapigo ya Moyo hayabadiliki kabisa 😁😁😁ila Sasa hapo kwenye kuniambia nichepuke ndio shughuli Sasa, mazoea Sina.Ushaona mtu anaweza kula kuku kila siku iendayo kwa Mungu bila kubadilisha mboga?
Chakula hata kiwe kitamu vipi, ukikitumia kila siku, hukinasha vibaya.
Wewe nguvu zako unazo sana, tatizo bibie ushamzoea, hana jipya ni kama dadako kwa hivi sasa.
Na kama nasema uongo chepuka uone kama haujavunja chaga!
Na vile mlishazaa na watoto, huyo mkeo ni ndugu yako kisaikolojia, usipogangamala waweza maliza hata mwaka bila ya kumla na usione tabu yoyote.
Mi sio Mtoto jamaanguHapana Mkuu, kumshauri shemeji kwa ajili yako ni vibaya Tena Mkuu... Nipe namba PM Mkuu ntamshauri utashangaa Kila Leo mwenyewe utaamka!!!
We acha tu, saivi hata asubuhi mnara hausomi kabisa jamaangu.Duuh, tunatofautiana. Wakati wengine akipita kwenda kuoga tu mnara unasoma. Unamfuata huko huko unamwagia
Katika vitu vinafanya uwe mwanaume ni nguvu za kiume na uwezo wa kiuchumi kikipungua kimojawapo hasa nguvu za kiume we ni kama mdoli ile ya dukaniMimi ni wakaskazini na ringi laiti kama lingekata tu ata nilivyofika miaka 18 ili na mimi nizipate hizo pesa😭😭