Miaka Miwili ya giza, uchawa, unafiki na mateso kwa Watanzania

World economics shakes up! (very common issue)
Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!
Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
Wanaopotea kwa sasa na kuuwawa sio bora kama beni saanane sio mbona hao hamlalamiki?

Basi kama sio taabu sana wao kupotea basi maisha yawe rahisi kea wale ambao wanahangaika kujitafutia riziki.

Na kama hali mbaya ya kiuchumi kwa dunia kwa nini sisi tusiwe na nafuu afrika kwenye nafasi ya kwanza ila tunazidi kuporomoka tu na hao wanaotuziti wametumia akili gani sisi tunashindwA na rasilimali tunazo za kutosha kuanzia ardhi?
 
Namkubali mama lakin kweli kuna vitu ulivyoandika vina mantiki CCM daima dumu hichi chama chetu ni cha Hovyo
 
World economics shakes up! (very common issue)

Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!

Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
unnamzungumzia ben sanane aliepotezwa na Chadema wenyewe 😕
 
unnamzungumzia ben sanane aliepotezwa na Chadema wenyewe 😕
halafu wenye vyombo vya dola wakazidiwa akili na CHADEMA ........ama kweli nchi ina watu watepevu sana wa akili, ufahamu na kuona mbele ,
 
halafu wenye vyombo vya dola wakazidiwa akili na CHADEMA ........ama kweli nchi ina watu watepevu sana wa akili, ufahamu na kuona mbele ,
ulitegemea vyombo vya dola inayoongozwa na CCM ihangaike na mambo yanayofanywa na chama cha upinzani ili iweje sasa.
 
ulitegemea vyombo vya dola inayoongozwa na CCM ihangaike na mambo yanayofanywa na chama cha upinzani ili iweje sasa.
ndio maana majority tunaamini ccm imechoka kabisaa yaani,
ccm inaamini vyama vya upinzani ni uadui , uhasama , uhaini n.k
na ndio maana hata mama Samia akizungumzia kuhusu maridhiano wengi ndani ya ccm wanamuona anapotoka kwasanbabu akili zao zinashabihiana na hayo.
ili tuendelee lazima kuwe na Katiba mpya ambapo kutakua na mpaka kati ya watendaji zao la siasa na watendaji ambao ni zao la mfumo wa Kiserikali.
 
asante kwa kutambua hilo na ndio ukweli ulivyo

refer miaka ya hapo nyuma upinzani wakishinda ubunge sehemu walizoshinda zinavyokwama kimaendeleo yani serikali ya CCM inakuwa inawasusa kuhakikisha wanateseka ili wasirudie tena sasa serikali ya hivyo kweli itahangaika kupotea kwa ben sanane wakati ndio inashangilia mpinzani kapotea 😀 na inawezekama ilikuwa ni matamanio yao pia who knows
 
Mkuu umesahau miamala ya Benki,uko watu hawasemi tunapigwa nje ndani,matozo kibao.
 
World economics shakes up! (very common issue)

Were the causes, but we enjoy in freedom we have, hatuishi kama panya buku!

Awali watu wakuwa wanapotea ovyo kama Ben saanane, iliogofya sana.
Wewe ni kibaka?unahofia nini kupotea?wote waliopotea ni wale walikuwa wanajishughulisha na shughuli haramu.Ben Saanane yule alijitakia,unuaji mwingi ulimponza, Magufuli PhD aliipata Chuo Kikuu UDSM kwa kupitishwa na mamlaka za Chuo.Sasa yeye alikuwa anataka nini?
 
Sukuma gang na uzushi.

Mmekosa mmekosa tu. Samia ndiye chaguo la Mungu la ukweli, au nalo utabisha?
Mungu yupi uyo anayetaka Wananchi waishi kwa shida?Mungu wa kweli katupa rasimali zote Madini,mito,Maziwa, Bahari na ardhi safi ya Kilimo lakini kutwa kuombaomba!
Angekuwa chaguo la Mungu angegombea na yeye 2015 na siyo kupata Urais wa lift.
 
Wanaoteseka ni sukuma gang pekee, kutoka peponi mchezo? Hivi ndugai yuko wapi siku hizi?
Wewe mwehu,Dukani wanaenda Sukuma gang peke yao? timu yenu ya Wahuni ya Msoga gang hawaendi?
 
Sasa Ghana Kuna nini Mjomba,nchi ishafirisika ile sasa hivi,Wana Hali mbaya kiuchumi balaa,fuatilia!
 
Umeme ulikatika wapi,tupe mifano ya maeneo umeme ulikuwa unakatika ovyo awamu ya tan😵nline media kama JF zilikuwa active,tuoneshe ata Uzi wa kuilalamikia kukatika umeme awamu ya tano.
 
Bora Mama Samia mara elfu tatu kuliko muuaji

Waislamu ndo watu wenye Huruma
1.Mabomu ya Mbagala
2.Mabomu Gongo la Mboto
3.Kutekwa na kuumizwa Kibanda na Dr Ulimboka
4.Mabomu Mkutano wa CHADEMA Arusha mwaka 2011
5.Vijana kufa kwa Madawa ya kulevya baada ya baadhi yao kugeuzwa Punda na wengine kutumia.
6.Ujambazi ulikithiri awamu ya nne,Kariakoo mitaa inatekwa mchana kweupe.
Haya yote yalifanyika chini ya utawala wa JK,
AU ulikuwa bado unanyonya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…