Wamesomea kuzuia maandamano huko Giningi,Kwa hili sidhani.Polisi watumwe haraka kuzuia taarifa za Michael Cliford
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesomea kuzuia maandamano huko Giningi,Kwa hili sidhani.Polisi watumwe haraka kuzuia taarifa za Michael Cliford
Kumbe ndio maana mzee mboye anazuia uchunguzi huru😀awamu hii Kwisha habari yake dadekAkivujisha hizo taarifa huenda Mbowe akaenda jela
Mojawapo ya masuala yaliyofanya US wakampiga ban Makonda ni pamoja na issue ya Ben...tusije kushangaa kama Ben Saanane naye alidukuliwa na TIGO.
Magufuli alikuwa shetaniWakati ukuta, tuliwahi kusema na watu walisema MICHAEL CLIFFORD anaenda weka majina ya wote walioshiriki katika unyama wa Lissu.
Kwakua tulizoea wafunga mdomo watanzania je tutaweza mfunga mdomo Michael Clifford?
Wakati kesi ikiendelea hakimu ataomba upelelezibufanywe upya na wapelelezi huruWakati ukuta, tuliwahi kusema na watu walisema MICHAEL CLIFFORD anaenda weka majina ya wote walioshiriki katika unyama wa Lissu.
Kwakua tulizoea wafunga mdomo watanzania je tutaweza mfunga mdomo Michael Clifford?
Kama sikosei Boni yai alikamatwa kwa kosa la kumshutumu mafwele mtandaoni.Lissu anamtaja Makonda kuongoza waliomshambulia.
Watu sio wajinga bana.acha kuhamisha goli.Mzee wetu wa Bilicanas sijui kama atanusurika, maana ana historia ya kuchomesha wenzake, ngoja tusubiri na ya Chacha Wangwe
Chuki zako kwa Mbowe utadhani aliwahi kupaka mafuta kama P.Diddy alivyo wapaka msanii wetu na mheshimiwa wa mjengoni walipo enda kutazama movie chumbani! Bila kumtaja kwenye lolote siku yako haijawa!Mzee wetu wa Bilicanas sijui kama atanusurika, maana ana historia ya kuchomesha wenzake, ngoja tusubiri na ya Chacha Wangwe
Lissu unamjua unamskia Lissu huyu huyu we subiriBaada ya mabeberu kutamkiwa shit, wakaamua kesi ya Michael Clifford iendelee na awataje wahusika. Hapa ndipo Mama ataenda wapigia magoti mabeberu na hii issue wataenda imaliza nje ya mahakama.
Nawahakikishia hii issue ni sabotage tu, haitofika kule watanzania tunapenda.
Lissu nae ataenda lipwa madai yake, na maisha yataendelea.
mimi tena?🤣Mbona una wasiwasi
Lets wait n seeLissu unamjua unamskia Lissu huyu huyu we subiri
Vyovyote itakavyokuwa kuna kitu tutajifunza kwamba uovu upo hata kwa watu tunaowaamini!Baada ya mabeberu kutamkiwa shit, wakaamua kesi ya Michael Clifford iendelee na awataje wahusika. Hapa ndipo Mama ataenda wapigia magoti mabeberu na hii issue wataenda imaliza nje ya mahakama.
Nawahakikishia hii issue ni sabotage tu, haitofika kule watanzania tunapenda.
Lissu nae ataenda lipwa madai yake, na maisha yataendelea.
Ndo atawafunga kabisa!Wakati kesi ikiendelea hakimu ataomba upelelezibufanywe upya na wapelelezi huru
Sisi kina lissu tutawachikua wapelelezi kutoka Israel
Waisraeli ni hatari sana kwenye mifumo ya telecom
Juzi kati walilipua simu zinaxotumia na hizbolah na kuua Mamie na kujeruhi maelfu
Ccm kazi mnayo na huyu mwamba, njia rahisi ya kumpooza ni kumtanga za raisi 2025
Si jambo zuri kuacha ex wako adhalilikeMtoto pendwa Chuga, TUMBO JOTO...hii issue ya Lissu itaendelea kumchafua bibi Chura Kiziwi..angejiweka nayo kando kwa kuruhusu UCHUNGUZI HURU + kuruhusu taratibu za KISHERIA zifuate
Hawapindishi mambo kivipi?Sisi kubashiri wahusika, hatuwezi. Na sababu,, kwa nini iwe leo au jana na sio 2017 au 2022 au mwaka jana hatujui. Weupe wananyooka, hawapindishi mambo. Tungoje ifike tuone rangi halisi.
Wewe ulitakaje?Samia aliwaza nini kumrudisha makonda kwenye serikali yake.