TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

Hesabu ulifeli kabisa?
Anamiliki asilimia 42.. shareholders wengine wanamiliki hiyo hiyo asilimia 58 wakiwemo wafanyakazi wanamiliki asilimia 1......
Wanaweza endeleza shirika ...waki vote.. hivyo
Unajua nguvu ya wenye majority share holders kwenye cooparate world?

Unachoongea wewe ni nadharia

Hao 58% watakuwaje majority share holder na siyo entity moja?
 
RIP grandpa.Your Legacy will never die.
 
RIP grandpa.Your legacy will never die.
 
Classmate sio lazima primary au sekondary. Hata kwenye mafunzo maalum ambayo kijana wa kampuni A anaweza kutana na mzee wa kampuni B wote wakiwa wanafunzi kwa muda fulani. Ukumbuke pia Kuna watu wanasoma Phd wakiwa na 30's na wengine 60's.
Hata master's tu unasoma na watoto wameunganisha kutoka degree huku wewe umisha kaa mtaani 15 yrs
 
Mtu akishauza hisa za kampuni Kwa watu wengine...hawi tena 'mmiliki"..anabaki kuwa founder...kichwa kingepaswa kusema "muasisi wa Precision air"..
Hana tena majority shares..
Aliuza 49% tu manake yéyé Ana 51 Sasa nan Zaid?
Shirika ni Mali ya shirima
 
Mbona uso wake kama wa lyatonga mrema una shida hivi. Ebu huna picha nyingine lakini nimegundua wachaga kwenye hii nchi ni Matajiri sana tofauti na wagogo
Tangu kabla ya uhuru Wachaga ni matajiri,Nyerere mwenyewe nauli za kwenda UN alifadhiliwa n'a Wachaga,ndio maana sera yake mfu ya ujamaa kule uchagan haikuwa na nafasi
 
Endelea kuwa na mentality za kimaskini utalia na kusaga meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…