TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

Huyo ni mmoja wa wamiliki au mwanahisa wa precision air sio mmiliki msimpe ukubwa wa peke yake mnaijua precision nyie acheni swaga hizo.

Rest in peace of the shareholders of precision air ndugu Shirima,
Acha uzwazwa yéyé n mwanzilishi na mmiliki
Hâta kama aliuzia Kenya Airways hisa 49% Bado yéyé Ana hisa nyingi kampuni ni yake
Unaona nongwa za nini ewe kapuku?
 
Hesabu ulifeli kabisa?
Anamiliki asilimia 42.. shareholders wengine wanamiliki hiyo hiyo asilimia 58 wakiwemo wafanyakazi wanamiliki asilimia 1......
Wanaweza endeleza shirika ...waki vote.. hivyo
Hujui hesabu Wewe
Yéyé ndiye individual majority shareholder
Hakuna individual mwenye share kama yéyé HIVI hujui hesabu?
 
Bado nasubiri comment za masikini wenzangu za kujipa moyo utaskia "Hata matajiri wanakufa cha muhimu kuishi kwa upendo"
tutafute pesa huo ujinga hautusaidii
Na wao walikuwa wanakusubiri wewe u comment, hatimaye ume comment kabla Yao
 
Mi nasubiri za kuona chanzo cha utajiri wake ni nini? Maana kama Mzee Edwin Mtei aliiba pale BOT etc, huyu lazima kuna chanzo ambacho siyo sahihi
Eti dreva wa malori, nk ni uongo mtupu.Kazi zilizotajwa hazikuwezeshi kununua Ndege, yawezekana aliaachiwa ndege na mzungu hawa wa makampuni madogo ya utalii tangia hapo akaendeleza.
 
Huyo ni mmoja wa wamiliki au mwanahisa wa precision air sio mmiliki msimpe ukubwa wa peke yake mnaijua precision nyie acheni swaga hizo.

Rest in peace of the shareholders of precision air ndugu Shirima,
Punguza mihemko inayotokana na wivu, utulie, urekebishe kiingereza ulichoandika hapa, kama huwezi andika tu kiswahili
 
Back
Top Bottom