TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

Shirima wizi wake nauunga mkono ingawa sipendi wezi, unajua hata Nyerere kuna siku alisifia wezi wa mbolea. Kuna mbolea ilikuwa inatolewa kwa ruzuku wanaopewa wanalima hovyo jamaa mmoja akaiba akalima kwa usahihi akapata mavuno mengi na kukidhi haja ya serikali ya uzalishaji wa chakula.

Tuseme mzee Shirima aliibia shirika la Afrika Mashariki, ila hata asingeiba ndege za hilo shirika ziko wapi leo hii? Badala yake asingeiba tusingekuwa na Precision Air na hilo shirika lingevunjwa vilevile tukaambulia historia.
Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
 
Classmate sio lazima primary au sekondary. Hata kwenye mafunzo maalum ambayo kijana wa kampuni A anaweza kutana na mzee wa kampuni B wote wakiwa wanafunzi kwa muda fulani. Ukumbuke pia Kuna watu wanasoma Phd wakiwa na 30's na wengine 60's.
Kongole. Tanzania tuna elimu ya kukariri na wtu wanakariri neno lilivyo bila kujua maana.
 
Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Tatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina baya
 
Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Bongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
 
Bongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
Bongo lako ndiyo limejaa funza! Kama Hali Iko hivyo basi imechochewa na viongozi wenye makamasi vichwani kama wewe
 
Bongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
Umaskini unakusumbua endelea kucheza sindimba utabaki na umaskini Wako hivyohivyo
 
Kuna jamaa nadhani na yeye ni ndugu wa huyu mzee maana na yeye ukoo wao ni Shirima.

Miaka ya 2010 baada ya kumaliza chuo akapata kazi kwenye hilo shirika, baada ya muda akaacha kazi akaanza kuporomosha majumba.
Ila nasikia aliiba hela kwenye hiyo kampuni akaacha kazi,

Mpaka sasa hivi mali anazomiliki jamaa haziendani na muda aliokaa kazini kabisa, hata kama analipwa kama mbunge.


Wachaga wezi sana.
Kwa nchi hii ...huyo bado sio mwizi...

Kaiba kajiendeleza ...
 
Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Mzee Shirima umeanza kumjua alipofariki sio? Pambana na wewe uwe bilionea uone.
Mengi kapelekwa kusoma UK na chama chao cha ushirika, akaoa mke wake Mary familia inajiweza, akafanya kazi kama accountant kisha akaondoka kazini, akakopa hela benki kisha ikaungua na nyaraka zikapotea. Sasa fanya kazi kwa bidii tu kama alivyosema uwe bilionea kama yeye.

Au fanya kama Shabiby anayesema alinunua basi lake la kwanza akiwa na miaka 19, na hela alizitoa kwenye biashara ya mazao wakati anasoma. Anasema alikuwa anauza kama karanga hivi na mazao mengine. Nawewe kauze karanga ukiwa shule ununue basi uone.

Mo Dewji yale mashamba ya mkonge yaliyokuwa ya serikali baba yake aliyapataje? Viwanda vya serikali je?
Sasa nawewe anza biashara kichwa kichwa kihalali uone kama utakuwa bilionea.

"Behind every great fortune there is a crime" Honoré de Balzac

"The secret of a great success for which you are at a loss to account is a crime that has never been found out, because it was properly executed" Honoré de Balzac
 
Tatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina baya
Moja, sijazaliwa familia maskini. Sijui kwa upande wako.
Mbili, mimi sio mjinga na nina hakika nina akili kukuzidi, kama unabisha hili niko tiyari nikupe evidence.

Mchukue mfanyakazi wa Air Tanzania au Kenya Airways auze mbao na kahawa naye awe founder wa shirika la ndege.

Shirima alikuwa na uwezo mkubwa kibiashara, experience ya kazi pamoja na passion ambayo hii ni muhimu mno kwenye biashara hii. Ila kwenye mtaji hapo jifanye aliuza mbao ili usije jiona mchawi na ndio ujione una IQ kubwa
 
Back
Top Bottom