Michelle Obama: Ndoa haina usawa wa 50/50, lazima mmoja akubali kujitoa

Michelle Obama: Ndoa haina usawa wa 50/50, lazima mmoja akubali kujitoa

Michelle Obama Ni mmoja Kati ya wanawake wachache Sana Duniani wanaojielewa.Baraka Obama aliokota embe dodo na mjani wake aisee!
This guy, Barack Obama is just blessed......
Successful in School....
Successful in Career....
Successful in Politics....
Successful in Marriage....
Successful in Parenting......

NB: It doesn't get better than this.
 
Wanaume hapa watataka wajilinganishe na Obama wakati obama hapelekewi maji bafuni ya kuoga wala mkewe hafui na kupika au kudeki nyumba
 
Hakikisha umefunga piemu maana si kwa kasi hii watavyokujia huko wale MARIOO [emoji87]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
hamna mkuu,ni tuela twa mboga tu point yangu ni kila mtu asimame kwenye nafasi yake huwezi kwenda againist nature mfano kuna majukumu kiasili ni ya mwanamme hata ukiyabeba we mwanamke kuna mahali utapwaya
 
vitu vya kuepuka kwa mwanaume kabla ya kuoa
Epuka mwanamke mchafu
Epuka mwanamke mvivu
Epuka mwanamke mwenye tamaa
Epuka mwanamke mbishi
Epuka mwanamke mwenye kiburi
Epuka mwanamke mshirikina
Epuka mwanamke empty headed yaani ye mawazo yake ni ya kubadili mawigi na kushindana kubadili fasheni
tabia zote hapo juu zinazalisha mengine,na wanawake waleeni mabinti zenu kwenye maadili ya kitanzania mfundishe mtoto kazi zote za ndani utakuja kunishukuru badae,unapomlundikia mdada wa kazi na wanao kuwaacha waangalie katuni usidhani unamkomoa badala yake unawaandalia wengine mke bora
 
Sometimes nahisi ndoa ni kama ujasiriamali flani ivi. Kuna risk kama vle ukifungua biashara kulivyo na risk. Kwa maana kuna ambao wanaogopa akijitoa 80% ...na akaendelea kuvumilia sometimes hakuna return.. aka ataambulia patupu.

Wapo waliojitoa na saiv wako Cardiac huko JKCI wanatibu maradh ya moyo. Mwngne juzijuzi, ni jirani na yeye anajisacrifice...na mume hayupo huko, sukari ikashuka akakimbizwa hospitali.

Baadhi ya wamama wanaugua maradhi ya moyo ama sukari kwa matatizo yaliyosababishwa na mume in the name of sacrifice. Am not condemning anyone..am just making a statement. Anyways..we really need God's help katika hii sekta...ukienda kichwa kichwa hutoboi...
 
Hapa umeupiga mwingi sana
Sometimes nahisi ndoa ni kama ujasiriamali flani ivi. Kuna risk kama vle ukifungua biashara kulivyo na risk. Kwa maana kuna ambao wanaogopa akijitoa 80% ...na akaendelea kuvumilia sometimes hakuna return.. aka ataambulia patupu.

Wapo waliojitoa na saiv wako Cardiac huko JKCI wanatibu maradh ya moyo. Mwngne juzijuzi, ni jirani na yeye anajisacrifice...na mume hayupo huko, sukari ikashuka akakimbizwa hospitali.

Baadhi ya wamama wanaugua maradhi ya moyo ama sukari kwa matatizo yaliyosababishwa na mume in the name of sacrifice. Am not condemning anyone..am just making a statement. Anyways..we really need God's help katika hii sekta...ukienda kichwa kichwa hutoboi...
 
Kibongo bongo UKIMVUMILIA MWENZIO UNAONEKA HUNA PA KWENDA NA UKIENDA UNAONEKA HUNA UVUMILIVU inabidi ukae chini ulieee mpaka basi machozi yakiisha unarudi kujipendekeza tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
juzi kuna bint ni jobless alafu anataka yeye akipika mmewe afue,sasa nkawa najiuliza huyu hana hata kazi vipi akipata kazi?
Nilimchana lakini na bahati nzuri alielewa make nilimwambia jifunze kwangu nina kazi,hela ya mboga si haba alafu angalia nnavyofanya majukumu yangu ya kike

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo tunakubali kushikiwa akili
 
Huyu nae Michelle anasema nn? 70% zipi hizo? Za kukaa kwa sofa na kutazama CNN? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Cocastic umezaa watoto wangapi mpaka sasa ?
 
Wanaume hapa watataka wajilinganishe na Obama wakati obama hapelekewi maji bafuni ya kuoga wala mkewe hafui na kupika au kudeki nyumba
Aliwahi kuhojiwa akasema huwa anatimiza majukumu yake ya nyumbani kama mwanamke/mama.....
 
Aliwahi kuhojiwa akasema huwa anatimiza majukumu yake ya nyumbani kama mwanamke/mama.....
Itakuwa machache mno huyo ana wafanyakazi kibao hafui kama sie wao hapiki piki labda ajisikie labda kuhakikisha mmewe yupo sawa lakin mikazi mmmh
 
Back
Top Bottom