Michelle Obama: Ndoa haina usawa wa 50/50, lazima mmoja akubali kujitoa

Michelle Obama: Ndoa haina usawa wa 50/50, lazima mmoja akubali kujitoa

Itakuwa machache mno huyo ana wafanyakazi kibao hafui kama sie wao hapiki piki labda ajisikie labda kuhakikisha mmewe yupo sawa lakin mikazi mmmh
Michelle na Obama wameanza maisha miaka mingi kabla ya Obama hajaingia kwenye siasa. Ikulu wameingia baada ya kukaa muda mrefu kwenye ndoa.
 
Ndoa hakunaga 50/50 kuna
Mwanaume 30
Mwanamke 70.
 
Kila niki fikiria kuoa nasikilizaga wimbo wa Gabby Makula "Baba paroko"

Nahairisha ndoa kabisa. Nachoka kabisa
 
Back
Top Bottom