Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Nilisha wahi kujaribu kuzalisha magoti nikajionea kero nikaachausipende kutumia damu inaleta tabia ya kuku kudonoana manyoya tumia vyanzo vingine vya proten
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisha wahi kujaribu kuzalisha magoti nikajionea kero nikaachausipende kutumia damu inaleta tabia ya kuku kudonoana manyoya tumia vyanzo vingine vya proten
Ukitaka kushika paka jivu mikono Yako yote.Hongera sana wengine tukiweka mayai hayatotolewi yote shida nin
AU hatupaswi kuyashika
likiwa duara kama shilingi mia hilo halifai linatakiwa liwe ovoid sijui kiswahili chake ni niniYakiwa duara yanatatizo gani
Au yakiwa makubwa
NIlikuwa najua yai likiwa duara basi atatoka tetea
Au likiwa kubwa basi atatoka
Kifaranga mkubwa🤣
Njoo nikupeleke Kwa mama mdogo wangu. Siyo kuku hata kanga anao zaidi ya 200!Tafuta mfugaji mwenye kuku 500 wa kienyeji uje nikupe laki moja.
eLimu nzuriUkitaka kushika paka jivu mikono Yako yote.
Pia hakikisha mayai hayafikishi siku zaidi ya 10.
Yaweke Kwa pamoja siku Moja usiku
Hesabu siku9-10 then ingia na tochi usiku Kwa Kila kuku aliye atamia na kufikisha siku10
Tengeneza duara kwenye mkono wa weka Yao kwenye duara hiyo Kisha mlika na tochi.
Iwapo utaona Yai linakivuli ama michirizi ya damu Hilo linafaa kutotolewa
Ukiliona halina kitu Kwa ndani yaani ni fresh tu basi Hilo Yai halifai kabisa kutororeshwa litumie Kwa matumizi mengine kama kula ama kuuza.
Swali jingine?
Eee kinachofanya Yai liharibike upesi ni Ile mbegu jogoo Likiwa halina yaani lipo fresh huaribika Kwa muda sana hayo ndo Huwa mayai vinza yanayo Nuka yaani ukipasua Unakuta maji matupu tu.eLimu nzuri
ILa yai likisha laliwa kwa siku kumi linafaa kwa kula kweli??
funza ni kero na niukaribishaji wa uvundo katika eneo lako kuna nafaka nyingi kama soya nk pia unaweza kutumia dagaa mashudu nk japo unapaswa kuweka dawa kama ridocox kwani ina diclazuril inayosaidia kuprivent coccidiosisNilisha wahi kujaribu kuzalisha magoti nikajionea kero nikaacha
linafaa na halina shidaeLimu nzuri
ILa yai likisha laliwa kwa siku kumi linafaa kwa kula kweli??
Upo sahihi mkuu Nina kuku wangu yeye hutaga Yai lenye viini viwili nimejaribu kuwapa kuku kienyeji wayaangue lkn wapilikiwa duara kama shilingi mia hilo halifai linatakiwa liwe ovoid sijui kiswahili chake nini nini
likiwa kubwa sana kuna uwezekano wa kua na viini viwili hilo halianguliki kamwe hata aje masia hamna vifaranga pacha
Ni dawa gani husaidia kuku wa kienyeji ambaye hajaanza kutaga inamfanya atage kwa haraka kwa harakafunza ni kero na niukaribishaji wa uvundo katika eneo lako kuna nafaka nyingi kama soya nk pia unaweza kutumia dagaa mashudu nk japo unapaswa kuweka dawa kama ridocox kwani ina diclazuril inayosaidia kuprivent coccidiosis
wana umri ganiNi dawa gani husaidia kuku wa kienyeji ambaye hajaanza kutaga inamfanya atage kwa haraka kwa haraka
Hivi ukitaka kumfanya kuku asitamie yaan arudi katika hali ya kawaida aendelee kutaga unatumia njia ganiUpo sahihi mkuu Nina kuku wangu yeye hutaga Yai lenye viini viwili nimejaribu kuwapa kuku kienyeji wayaangue lkn wapi
Nyongeza kwenye duara sana Kuna baadhi ya kuku Huwa wanataga mayai namna hiyo mfano kuku wasio kuwa na mkia au manyoa Yale marefu Kwa nyuma. Huku huitwa mbuni mayai Yao Huwa na mviringo sana.
Hapa Yai Likiwa kubwa kiasi na limechongoka basi pasina shaka litakuwa la jogoo
Na Likiwa butu ni mitetea. Hii Kwa uzoefu wangu tu siyo darasani.
Ahsantee tuendelee kupeana Elim mkuu
usiendelee kuweka hayo mayai hayatakaa yaangulike mkuu na wambie na wakulima wenzako hakuna vifaranga pacha chini ya hili juaUpo sahihi mkuu Nina kuku wangu yeye hutaga Yai lenye viini viwili nimejaribu kuwapa kuku kienyeji wayaangue lkn wapi
Nyongeza kwenye duara sana Kuna baadhi ya kuku Huwa wanataga mayai namna hiyo mfano kuku wasio kuwa na mkia au manyoa Yale marefu Kwa nyuma. Huku huitwa mbuni mayai Yao Huwa na mviringo sana.
Hapa Yai Likiwa kubwa kiasi na limechongoka basi pasina shaka litakuwa la jogoo
Na Likiwa butu ni mitetea. Hii Kwa uzoefu wangu tu siyo darasani.
Ahsantee tuendelee kupeana Elim mkuu
Miezi 5_6wana umri gani
Usimwachie mayai. Atataga Hadi atafikia hatua anahitaji kulalia ila hakuna Yao hata Moja una muondoa sehem hiyo na unamuweka Banda jingineHivi ukitaka kumfanya kuku asitamie yaan arudi katika hali ya kawaida aendelee kutaga unatumia njia gani
NImesha jaribu kumuogesha🤣🤣 lakini haisaidii
Nikweli nilitaka ku prove tu na sikuweka yote niliweka4 tuusiendelee kuweka hayo mayai hayatakaa yaangulike mkuu na wambie na wakulima wenzako hakuna vifaranga pacha chini ya hili jua
mara nyingi huwa ni kuku jamii ya saso ndio hutaga mayai haya ni mazuri sana kibiashara lakini kwa mfugaji unapaswa kupata elimu juu ya uchaguzi wa mayai yake kwajili ya vifaranga kwani huwa hawatagi yote yenye viini viwili,mayai sahihi kuyatamishia hupaswa kuwa na uzito wa 58-61gm
kama ni kienyeji haswa huanza kutaga miezi 6-7 changanya mchanganyiko wako wa chakula vizuri pia wawekee primix na egg boosterMiezi 5_6