wilcoxon
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 1,142
- 2,947
Shida ya sisi watu weusi tuna negativity sana, wazungu wamepambana kufanya uvumbuzi wa vitu mbalimbali mpaka wamefanikiwa. Lakini njoo huku kwetu sasa hata vitu vya kawaida ambavyo ni asili ya mwanadamu utaambiwa huwezi.Acha kukatisha tamaa! Kama huna taarifa, usisema HAKUNA au haiwezekani
Mimi nashauri kama mtu una passion na hivi vitu viwili kilimo na ufugaji fanya bila kuchoka hata kama unafeli kuna wakati utakuja kufanikiwa na utawashangaza watu.