Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mbwa koko, kizee kinafiki sana,Wewe Tangu umeitwa Dodoma mpaka Leo hujatoka ndani, mwenzio kapigwa risasi 30+ unajifanya kuchonga. Toka nje tukuone kama kidume kweli. Kati ya watu wanaotakiwa kukaa kimya kuhusu siasa na harakati zake ni wewe maana huna chochote kinachofaa kuitwa ujasiri, umebaki Mbwa anayebwekea uani.
Wafuasi wa Jiwe basi wana hasira bado na Lissu!
Mi namshauri Lissu aendelee kunyonya kuku kwa mrija.... asije poteza muda kuja kutetea wazinzi na walevi wa Tanganyika.Miguna Miguna HAKUKIMBIA MAPAMBANO ilibidi serikali im-sadate ili kumtoa Kenya.
Hawa wa kwetu walitimka uwanja wa mapambano wakisaidiwa na waliokuwa wakiwatumia.
Ndio maana MM siku zote alikuwa akitaka kurudi Kenya hata katikati ya uadui mkubwa na serikali ya Uhuru na Ruto.
Dont compare MM na hawa matapeli wetu wa kisiasa.
Unamjua Miguna wewe?vipi huyo miguna alishawahi kutishiwa kukatishwa maisha walau hata kwa kupigwa rungu
Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Dkt Miguna Miguna alikuwa katika mstari wa mbele kwenye maandalizi na uapishaji wa kinara wa NASA kuwa ‘rais wa wananchi’ Januari 30, 2018. Kwa sasa, wametofautiana
Mkuu huwa nikiona jina lako kabla ya kuandika huwa nainama kama salamu na tamaduni zetu zilivyo, hii ni heshima nakupa ila kwa hichi unachotaka kukisema basi angalia sana mzee wangu.Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!
Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?
Britanicca
Usiwe mpumbavu na mjinga kwa pamoja! Katiba na sheria za Kenya ni tofauti, nalo hili hujui!Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!
Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?
Britanicca
Ameamua kula matapishi baada ya kuonywa tu na Ndugai.Wewe Tangu umeitwa Dodoma mpaka Leo hujatoka ndani, mwenzio kapigwa risasi 30+ unajifanya kuchonga. Toka nje tukuone kama kidume kweli.
Kati ya watu wanaotakiwa kukaa kimya kuhusu siasa na harakati zake ni wewe maana huna chochote kinachofaa kuitwa ujasiri, umebaki Mbwa anayebwekea uani.
Uani tena unabwekea bandani mwako ule mbweko wa mbwa kaona mwezi.Duh...!. Mkuu Bila bila, hili la kubwekea uani... hivi hata hapa jf ni uani au hapa ni kibarazani, upenuni kabisa?.
P.
vijana wangu wamepeleka kabrasha lako kwa Mama kuhusu uteuzi. tuombe Mungu safari hii ule krisimasi huku VX jeusi la serikali likiwa limepaki uani kwako boss.Duh...!. Mkuu Bila bila, hili la kubwekea uani... hivi hata hapa jf ni uani au hapa ni kibarazani, upenuni kabisa?.
P.
naunga mkono hojaWewe Tangu umeitwa Dodoma mpaka Leo hujatoka ndani, mwenzio kapigwa risasi 30+ unajifanya kuchonga. Toka nje tukuone kama kidume kweli.
Kati ya watu wanaotakiwa kukaa kimya kuhusu siasa na harakati zake ni wewe maana huna chochote kinachofaa kuitwa ujasiri, umebaki Mbwa anayebwekea uani.
Mvuto kwenye nini?Hawana mvuto tena hao.