nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
ubarikiwe ya nioko, kauli za kifedhuli sana unatoa wee zeeMkuu JembeKillo , asante!, ubarikiwe sana!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ubarikiwe ya nioko, kauli za kifedhuli sana unatoa wee zeeMkuu JembeKillo , asante!, ubarikiwe sana!.
P
kinachonishangaza wanaohitaji sana lissu arudi tz ni wafuasi wa ccm waliokuwa na mahaba mazito sana na sera kandamizi za marehemu jiwe.Lisu atarudi 2024 ili kuja kugombra urais,, lema nae atarudi mwaka huo kugombea ubunge,,
Kwasasa hawana kazi ya kufanya huku, hivyo haileti maana waache kazi zao huko nje waje kuwa jobless hapa
KIKOSI KILICHOMPIGA RISASI BADO KIPOKosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!
Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?
Britanicca
Dr miguna ilibidi athibitiwe kwa utukutu wake lakini si kisheria eti kavunja SheriaMiguna Miguna HAKUKIMBIA MAPAMBANO ilibidi serikali im-sadate ili kumtoa Kenya.
Hawa wa kwetu walitimka uwanja wa mapambano wakisaidiwa na waliokuwa wakiwatumia.
Ndio maana MM siku zote alikuwa akitaka kurudi Kenya hata katikati ya uadui mkubwa na serikali ya Uhuru na Ruto.
Dont compare MM na hawa matapeli wetu wa kisiasa.
Kama mna dhamira ya kweli ninyi ccm ukiwepo na wewe msomi wa mokba urusi futeni zile kauli zenu mbili hadharani Kama mlivyotutangazia kwenye mikutano yenu ya kampeni za kuwa :- "polisi wetu hawakosei shabaha kwani tatu TU zingemaliza kazi na Ile ya kumdunga sindano ya sumu"!Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!
Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?
Britanicca
enhee matapeli au sio...bas miguna hajakumbana na bad situations.......lissu ni victim (a living miracle) wa kushambuliwa na idadi kubwa ya risasi na still anaishi....Unamjua Miguna wewe?
Nani anaweza kumtishia Miguna?
Wanaotishiwa ni hawa matapeli wa kisiasa huku kwetu.
Ahakikishiweje kwa mfano wakati Amiri Jeshi Mkuu kashamwambia arudi,nyie wafuasi wake mlitaka ahakikishiweje inawezekana mna mawazo mazuri ila kuyawasilisha ndio hamjui?
Kwani kuna mtu aliwafukuza na kawazuia kurudi? Hizo janja janja tu za kusukuma maishaKosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !
Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!
Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?
Britanicca
Miguna aliondoshwa baada ya kutofautiana na Raila na sio vinginevyoKosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana!
Miguna miguna alimuapisha Odinga na karejea Kenya baada ya muda mrefu kuwa Canada! Je, kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna ujanja ujanja fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile?
Britanicca.
Raila na Miguna walishatofautiana kitambo sana na ndio maana alipelekwa exileHuwezi linganisha supporters wa Raila na wa tundu au lema, uki deal na Miguna una deal na Raila. Sasa lema na tundu wana ushawishi hapa nchini kama alivyo Raila kule Kenya?
Huwezi linganisha vitu ambavyo havilingani.
Lisu kanogewa na amstredam!
Lema kanogeea huko Canada!
Wanawaza wakirudi wataishije nje ya ubunge?
Ngoja walelewe kwanza, wakichokwa watarudi tu
Kumbe na wewe ni wale waleKosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana!
Miguna miguna alimuapisha Odinga na karejea Kenya baada ya muda mrefu kuwa Canada! Je, kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna ujanja ujanja fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile?
Britanicca.