Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas sio magaidi, ulaaniwe wewe.Hamas ni Magaidi walaaniwe
Halafu jana Balozi wa Hamas alikuwa anatamba tu pale Clouds TV 🐼
Mkasa mzima siujuwi, uelezee wewe.Wee endelea kujizima data tu.Na kupindisha wakati unajua mkasa mzima ila udini umekujaa pomoni
We konyo ebu nitoe kwenye hizo dini zenu za kiwaki zilizopanda meli. Mie naabudu mizimu ya mababu zangu,sio hao magaidi yanayowapumbaza kua mkifa mtakutana na bikra 70.Unikomeee wee paka la baa.Komaa kabsa kuni quote use.nge
Wayahud wamemuua hata Yesu, sio watu hawa hata kidogo. kama waliweza kumuua yesu sembuse wapalestine.Hamas ni Magaidi walaaniwe
Halafu jana Balozi wa Hamas alikuwa anatamba tu pale Clouds TV 🐼
Shetani ukome na hao mashetani wenzako. Laana iwe juu ya magaidi ya Hamas, na amani iwajilie watu wote walio wema.
Israel piga hao Hamas mpaka yabaki majivu tu hapo Gaza
Gaidi mwingine. Ndugu yako anauawa unakaa kimya kisa imani katika simulizi za kale za kijingaKwa hiyo serikali ikilaani mauaji hayo ndio Marehemu hawa watafufuka???
Punguzeni chuki zisizo na tija!
Mpaka akitekwa hassan ndipo walaani?Yaani walaani kutekwa Kwa Joshua?
Hatuna viongozi, tuna watun wako madarakani ila hawajitambuiUnafiki ndo shida yetu.
Tunapenda sana kujipendekeza hata kama majirani wana tushika matraaaaaco.
Sijawai ona kiongozi wa Tz akitoa msimamo dhabiti kuhusu jambo lolote linalo hisu Tanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ni kama tupo tu. Hatuna values wala principles.
Kupiga Israel labda ndotoni
Afu Kuna mavaa kobazii yanataka kuandama!! Maninaa zenu.....
Wayahud wamemuua hata Yesu, sio watu hawa hata kidogo. kama waliweza kumuua yesu sembuse wapalestine.
Halafu hapo bado kuna wapumbavu wanaichukia IsraelJoshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas
BBC Swahili, Nairobi
![]()
CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Upo sahihi snSamia na waislam wenzake watakuwa wanafurahia kuuawa kwa mtanzania mwenzetu!!, Tunahitaji kauli ya serikali kuhusu Hawa HAMAS. KUKAAA KIMYA MAANA YAKE WAMEFURAHISHWA NA HAYA.