Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauri=kauliJifunze uandishi,unapoandika joshua na kuweka alama hii: na kuweka maneno mbele maana yake hiyo kauri kaitoa joshua kumbe sio
Mbona nchi za wenzetu wanafuatilia sana watunwao na hata kuachiliwa? Nchi yetu nini shida? Wamebaki kupiga porojo na sifa na ufisadi tu kuficha hata waliko viongozi.Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas
BBC Swahili, Nairobi
![]()
CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Swali la kumuuliza yeyeSasa mbona Nyau anapiga Gaza na West Bank?
Balozi wa Hamas?Swali la kumuuliza yeye
Alikuwa field labda(ufugaji wa ng'ombe)Inasemekana ni degree holder pale SUA.
Huyo anayeshambuliaBalozi wa Hamas?
Waarabu mtapigwa mpk mchakae,mzayuni hamumuwezi
Gaidi mzaa magaidi jikite kwenye madaInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Bibi Nyamizi kwenye 1 na 2Afadhari wewe unawasilisha hoja yako kimantiki na kwa lugha yene staha.Inasikitisha sana kwa mtu mzima tena Mwanamke katika umri utu uzima na yeye kutumia maneno ya hovyo kuwasilisha hoja zake.
Nikirejea kwa point yako, pana Nchi pia za kiarabu ni fragile upande wa political stability lakini sababu ya umaskini wetu bado watu wanarisk na kwenda kufanya kazi .
Nakubaliana na wewe wakati mwingine madhira yanawapata watu sababu ya kukosa mwelekeo wa maisha hapa nyumbani wanaamua kurisk kwa kwenda kujaribu huko.Umaskini wetu ukichagizwa na aina ya viongozi tulionao kwa Nchi nyingi za Ki Africa ndiyo tatizo letu kubwa
Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas
BBC Swahili, Nairobi
![]()
CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Kauliwa na IsrealJoshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas
BBC Swahili, Nairobi
![]()
CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Tumekuwa ni chaka la wajinga,wengi wetu.
Hv kweli Hamas wamteke Mtz kisha wamuue,Halafu Serikali yetu ikae kimya...
Wazo langu kwa Serikali
Wawaulize Israel...Kwann Watanzania wamekufa ilihali wakiwa Mikononi Mwao?!
Ikiwa Seikali yetu inaweza kufanya uchunguzi,wafanye,na si kuletea habari za Wazayuni,kisha kuikubali na kuwaaminisha Watanzania!!!!
Vipi pakisemwa kuwa Serikali ya Israel iliwachukua Watanzania hawa na kuwapeleka front,kisha wakakutwa na kifo?!
Hili linawezekana...
Tuweni macho sana na tuwache chuki zisizokuwa na msingi.
Sisi kama Watanzania,tunawapa pole Familia ya hawa Watz wenzetu....ila tuwe macho sana na Dunia tuliyo nayo.
Asanteni
Kwa hiyo serikali ikilaani mauaji hayo ndio Marehemu hawa watafufuka???Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Shetani ukome na hao mashetani wenzako. Laana iwe juu ya magaidi ya Hamas, na amani iwajilie watu wote walio wema.Wazazi mtawapelekaje watoto kwa mazayuni, ona sasa kilichowakuta!
God bless Hamas
God bless Palestine [emoji1193]
Huna akili umebebeshwa majini ya madrasa hata hujielewiTumekuwa ni chaka la wajinga,wengi wetu.
Hv kweli Hamas wamteke Mtz kisha wamuue,Halafu Serikali yetu ikae kimya...
Wazo langu kwa Serikali
Wawaulize Israel...Kwann Watanzania wamekufa ilihali wakiwa Mikononi Mwao?!
Ikiwa Seikali yetu inaweza kufanya uchunguzi,wafanye,na si kuletea habari za Wazayuni,kisha kuikubali na kuwaaminisha Watanzania!!!!
Vipi pakisemwa kuwa Serikali ya Israel iliwachukua Watanzania hawa na kuwapeleka front,kisha wakakutwa na kifo?!
Hili linawezekana...
Tuweni macho sana na tuwache chuki zisizokuwa na msingi.
Sisi kama Watanzania,tunawapa pole Familia ya hawa Watz wenzetu....ila tuwe macho sana na Dunia tuliyo nayo.
Asanteni
Unasahihisha nini mauaji nyie waabudu mwarabuJifunze kuandika sio kauri ni "kauli".
Wee endelea kujizima data tu.Na kupindisha wakati unajua mkasa mzima ila udini umekujaa pomoniWewe sema ukweli upoje? Tueleze alifikaje Ghaza?