Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Tujifunze kuvielewa vitu, si kukariri.

Colon. The colon is used chiefly to introduce a list, quotation, or explanation following an independent clause (complete sentence). Use a colon at the end of a complete statement to introduce a list.
 

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Mbona nchi za wenzetu wanafuatilia sana watunwao na hata kuachiliwa? Nchi yetu nini shida? Wamebaki kupiga porojo na sifa na ufisadi tu kuficha hata waliko viongozi.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Gaidi mzaa magaidi jikite kwenye mada

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tumekuwa ni chaka la wajinga,wengi wetu.
Hv kweli Hamas wamteke Mtz kisha wamuue,Halafu Serikali yetu ikae kimya...
Wazo langu kwa Serikali
Wawaulize Israel...Kwann Watanzania wamekufa ilihali wakiwa Mikononi Mwao?!
Ikiwa Seikali yetu inaweza kufanya uchunguzi,wafanye,na si kuletea habari za Wazayuni,kisha kuikubali na kuwaaminisha Watanzania!!!!

Vipi pakisemwa kuwa Serikali ya Israel iliwachukua Watanzania hawa na kuwapeleka front,kisha wakakutwa na kifo?!
Hili linawezekana...
Tuweni macho sana na tuwache chuki zisizokuwa na msingi.

Sisi kama Watanzania,tunawapa pole Familia ya hawa Watz wenzetu....ila tuwe macho sana na Dunia tuliyo nayo.

Asanteni
 
Afadhari wewe unawasilisha hoja yako kimantiki na kwa lugha yene staha.Inasikitisha sana kwa mtu mzima tena Mwanamke katika umri utu uzima na yeye kutumia maneno ya hovyo kuwasilisha hoja zake.
Nikirejea kwa point yako, pana Nchi pia za kiarabu ni fragile upande wa political stability lakini sababu ya umaskini wetu bado watu wanarisk na kwenda kufanya kazi .

Nakubaliana na wewe wakati mwingine madhira yanawapata watu sababu ya kukosa mwelekeo wa maisha hapa nyumbani wanaamua kurisk kwa kwenda kujaribu huko.Umaskini wetu ukichagizwa na aina ya viongozi tulionao kwa Nchi nyingi za Ki Africa ndiyo tatizo letu kubwa
Bibi Nyamizi kwenye 1 na 2
 

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo

Wazazi mtawapelekaje watoto kwa mazayuni, ona sasa kilichowakuta!

God bless Hamas
God bless Palestine 🇵🇸
 

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Kauliwa na Isreal
 
Tumekuwa ni chaka la wajinga,wengi wetu.
Hv kweli Hamas wamteke Mtz kisha wamuue,Halafu Serikali yetu ikae kimya...
Wazo langu kwa Serikali
Wawaulize Israel...Kwann Watanzania wamekufa ilihali wakiwa Mikononi Mwao?!
Ikiwa Seikali yetu inaweza kufanya uchunguzi,wafanye,na si kuletea habari za Wazayuni,kisha kuikubali na kuwaaminisha Watanzania!!!!

Vipi pakisemwa kuwa Serikali ya Israel iliwachukua Watanzania hawa na kuwapeleka front,kisha wakakutwa na kifo?!
Hili linawezekana...
Tuweni macho sana na tuwache chuki zisizokuwa na msingi.

Sisi kama Watanzania,tunawapa pole Familia ya hawa Watz wenzetu....ila tuwe macho sana na Dunia tuliyo nayo.

Asanteni

Uwe inafuatilia, siyo kuropoka tu kwa kadiri unavyowaza wewe.

Mpaka sasa, mateka waliokufa wakiwa mikononi mwa Hamas, kwa mujibu wa maelezo ya Hamas, ni 18. Siyo kwamba waliwateka halafu walivyofika huko waliwaua. Bali wakati wanawateka, wengine walikuwa wamewajeruhi vibaya, wengine waliwapiga sana kwa sababu hawakuwa tayari kuwa mateka, wengine wameugua wakiwa mikononi mwa Hamas. Hamas wanasema kuwa wamekuwa wakishindwa kuwapeleka hospitalini kwa sababu ya kuogopa mashambulizi ya Israel.

Kama ni mfuatiliaji, ulisikia juu ya kukwama kwa kuongeza muda wa kuacha mapigano ili ubadilishanaji wa mateka uendelee. Israel iligoma baada ya Hamas, kwenye orodha ya mateka 15 wa kubadilishana, iliweka watu hai 11, na miili ya wafu 4. Israel ilitaka iondolewe miili, wawekwe watu hai, Hamas wakagoma, wakidai kuwa raia hai wameisha, waliobakia wanashikiliwa na makundi mengine. Waliobakia kwa upande wao ni askari wa Israel ambao hawawezi kuwaachia.

Na si ajabu mpaka sasa, marehemu waliopo mikononi mwa Hamas ni zaidi ya 18.
 
Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Kwa hiyo serikali ikilaani mauaji hayo ndio Marehemu hawa watafufuka???

Punguzeni chuki zisizo na tija!
 
Tumekuwa ni chaka la wajinga,wengi wetu.
Hv kweli Hamas wamteke Mtz kisha wamuue,Halafu Serikali yetu ikae kimya...
Wazo langu kwa Serikali
Wawaulize Israel...Kwann Watanzania wamekufa ilihali wakiwa Mikononi Mwao?!
Ikiwa Seikali yetu inaweza kufanya uchunguzi,wafanye,na si kuletea habari za Wazayuni,kisha kuikubali na kuwaaminisha Watanzania!!!!

Vipi pakisemwa kuwa Serikali ya Israel iliwachukua Watanzania hawa na kuwapeleka front,kisha wakakutwa na kifo?!
Hili linawezekana...
Tuweni macho sana na tuwache chuki zisizokuwa na msingi.

Sisi kama Watanzania,tunawapa pole Familia ya hawa Watz wenzetu....ila tuwe macho sana na Dunia tuliyo nayo.

Asanteni
Huna akili umebebeshwa majini ya madrasa hata hujielewi

USSR
 
Back
Top Bottom