Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Halafu utamsikia mtanzania wa Ilala, anasema from the sea to the river au free Palestine.
Free Palestine 🇵🇸

hii msialaumu Hamas laumuni makafir wenzenu Israel wanaotaka kupokonya ardhi ya Wapalestine kwa mabavu na kuwanya Watumwa.
 
Semeni ukweli hao makafir walienda kufanya nini huko msituletee hadithi za sungula na fisi eti walienda kufuga ng’ombe wa maziwa 😏
 
Majitu hayajitambui haya
Nyerere alikuwa na dini yqke ila hakuwathamini kwa ushenzi wao na hakuwataka kabisa
Leo yamejazana mashogo eti ndio yanajitokeza majitu ooh taifa teule
Teule la kuoana wanaume
Bunge linapititsha akifiwa shoga anakuwa widower na analipwa shoga kawa mjane
Huu upumbavu wanaukubali na wanaona sifa kuwashabikia

Una mito yote hiyo unashindwa kuitumia ni akili au matope
Umasikini wa akili ni mbaya sana asikuambie mtu
Yaani waafrika tuna shida kubwa sana mahala kwakweli dah
 
Ukweli ulikuepo eneo la tukio mauaji yakitokea au unashabikia kwa vile unaongozwa na udini? Cha ajabu huyu ni mtanzania mwenzio.Unajisikiaje ndugu zake wakipita humu na kusoma kejeli zako? Unakera sana Bibi ila nakwambia uzuri umezaa na wajukuu unao ipo siku yatakukuta makubwa kuliko haya.Usijione umekamilika kila idara.Nakuombea usife ili ujionee yakitokea kwenye familia yako.
Wewe sema ukweli upoje? Tueleze alifikaje Ghaza?
 
Wameuliwa Tangu oktoba 7 ,eti Hamas wamechukua miili yao na kukaa nayo mpaka leo ...Huu ujinga labda asiyejua kusoma ndio anaweza kuelewa .

Yaani Hamas kukamata mateka waache wazima wachukue miili ya waliokufa tangu oktoba 7 😅😅😅..

Dead bodies are everywhere na zinaachwa kusambaa watu waje kuokota maiti .

Simple ni kwamba israel wameua watanzania wote wawili....walichoandika labda uwe mjinga ndio utakubali .


Yaani mtu kauliwa oktoba 7 wao Hamas washikilie miili ya hao maiti kwa miezi 2 ,ili wapate nn tena?😅😅
Umeeleweka mkuu, ina mana scenario ilikuaje may be waliua kwa bahati mbaya israel au waliua wakat wa mashambulizi.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Waarabu mtapigwa mpk mchakae,mzayuni hamumuwezi
 
Umeeleweka mkuu, ina mana scenario ilikuaje may be waliua kwa bahati mbaya israel au waliua wakat wa mashambulizi.
Ilikuwa shambulizi la awali kabisa na kuna habari kwamba katika shambulio la awali israel wao walikiri waliua raia wao bila kukusudia..

Ishu ya kusema wamekaa na mwili miezi haiwezi kama angekuwa kweli kafia akiwa katekwa mwili wske ungejumuishwa na waliaochiwa first batch ...Inaingia akilini kweli wabaki na maiti 😅😅
 
Hao watu wa wizara ya Mambo ya.nje wamekwenda kutalii. Juzi rais was Zanzibar amekwenda Qatar ambao ni wafadhili wakuu was Hamas ameshindwa kuongea nao, wakati tunaelezwa anamwakilisha rais was Tanzania.
 

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
 
Jifunze uandishi,unapoandika joshua na kuweka alama hii: na kuweka maneno mbele maana yake hiyo kauli kaitoa joshua kumbe sio

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?

Mumeshikilia miili yao muifanyie nini, yaani hiyo dini balaa...
 
Back
Top Bottom