Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Jifunze kuandika sio kauri ni "kauli".Jifunze uandishi,unapoandika joshua na kuweka alama hii: na kuweka maneno mbele maana yake hiyo kauri kaitoa joshua kumbe sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kuandika sio kauri ni "kauli".Jifunze uandishi,unapoandika joshua na kuweka alama hii: na kuweka maneno mbele maana yake hiyo kauri kaitoa joshua kumbe sio
Nguvu yote tumeelekeza kwa misomisondo na mambo hayaSerikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Ameandikaje apooo [emoji1][emoji16][emoji16][emoji120]Jifunze kuandika sio kauri ni "kauli".
Anza basi wewe hapo kuonyesha mfano kwa kuuwa makafir waliokuzunguka ambao ni jirani zako ili tujue kweli upo serious ewe key board warriorkabisa yaani !
haiwezekani Makafir kote duniani aaungane kuwapoga Hamas kisa watoke kwenye ardhi yao.
ueni makafir wote ikibidi
Yule alikuwa ni balozi wa Palestinia, Palestina ipo chini ya utawala wake na sio Hamas ..Hamas ni Magaidi walaaniwe
Halafu jana Balozi wa Hamas alikuwa anatamba tu pale Clouds TV 🐼
Bro always natumia 6 senses ku acquire information. Hao ni magaidi kulingana na metendo yao haijalishi nani anawaunga mkono na nani hawaungi mkono. Ila sijasema wewe hauko sawa kila mmoja yuko sawa kulingana na mtazamo wake.Anaeuwa watoto na wanawake wasio na hatia anajulikana dunia nzima.
Kwahiyo Hamas wanatawala Nchi gani?Yule alikuwa ni balozi wa Palestinia, Palestina ipo chini ya utawala wake na sio Hamas ..
Hamas Wapo ukanda wa Gaza....Serikali ya Palestina ipo West Bank (Ukingo wa Magharibi)Kwahiyo Hamas wanatawala Nchi gani?
Sasa mbona Nyau anapiga Gaza na West Bank?Hamas Wapo ukanda wa Gaza....Serikali ya Palestina ipo West Bank (Ukingo wa Magharibi)
Serikali ivunje uhusiano na Palestina.Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas
BBC Swahili, Nairobi
![]()
CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Serikali ivunje uhusiano na Palestina.
Lakini kama hawaguswi na mauaji haya waendelee na ishu zao
Duh! Hii sehemu/aya nafikiri haijakaa sawa, hata kama!Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Unafiki ndo shida yetu.Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Yaani walaani kutekwa Kwa Joshua?Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana